Mla Bata
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 8,164
- 18,675
na wenzao wasukuma ni sheeeda
Msukuma vs Mmasai ni sawa na Abdalah vs Dulla au Moses vs Musa ndio wale wale tu kwa ushamba hawatofautiani 😅😅
Let's meet at the top, cheers 🍻
na wenzao wasukuma ni sheeeda
Dar to mwanza, picha linaanza pale ubungo zinaingia familia tatu za ndugu zangu wasukuma (watu kama nane wakiwa na watoto wadogo).
Hawakukaa pamoja, wengine walikaa nyuma kabisa, wengine katikati. Kazi inaanza akina ngosha walipoamua kupiga story kwa lugha yao, yani jamaa yuko siti ya nyuma kabisa ila anapiga story na ngosha mwenzie aliekaa siti ya kati.
Balaa zaidi ni pale walipoanza kupasiana vikombe vya maji (walibeba maji ya kunywa kwenye ndoo ndogo ya lita kumi). Kikombe kinapasiwa toka nyuma kule mpaka kinamfikia mlengwa kule katikati.
Mara watoto wakaanza kuzurula ndani ya bus, toka nyuma kuja kati endivaisi vesa bila kusahau vilio vya hapa na pale. Kuna wakati nikahisi labda niko kwenye darasa la chekechea, kumbe niko kwenye bus asee!
Kusema kweli Mwanza nilifika, ila cha moto nilikiona.
Safari ya kurudi dar, najikuta nimekaa jirani na mbibi msumbufu. Anyway, hiyo ni story nyingine!






Kunywa maji kidogo 

Oyaaa!!mzee baba sikila mtu kalipa nauli take?mbonaa unatufokea Kama tumepewa lift.....usinipangie hi ni public transport Kama vipi panda ndegee,afu eti wa mikoani kwani uko jijini kwenu hakunaa watu Kama hao Tena ndo vishoiaa balaa,wanataka kujifanya wajuajii kupita kila mtu
Hujasoma nilichoandika ama Umesoma hujaelewa labda sababu ya usingizi....lala kidogo utasoma badae
Mwanamke kuwa na kinyaa ni kujisahau kumbuka tu unapokuwa kwenye Anga LA lokabi kuelekea mwezini mnakuwaga na kaharufu amazing Ila mnavumiliwa kinyaa kwa mwanamke nao ni Ushamba tuNina kinyaa ambacho sio cha hii dunia
Sikula chochote
Kunywa maji kidogo
![]()
nimecheka sana eti walipanda na ndoo ya maji ya kunywa wanapasiana kikombe Cha maji
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app




Bila kusahau wale kina mama wanaosafiri na watoto wawili huku wamekata seat moja
Nilishawahi kujikuta dada msaidizi wa mtoto mwanzo hadi mwisho wa safari,yaaani kale kadogo nimekashikilia mimi,kale kengine kadada mtu kameshikwa na mama yake
Mbaya zaidi kale katoto kalinipenda na kunizoea mapema sana,kila muda dada hivi dada vile mara kanilishe vitu kanavyopewa na mama yake
Sio kwa ubaya,lakini ni usumbufu...kama una watoto wadogo wawili jitahidi kuweka seat mbili aseee
Siku hizi namuagiza anayenikatia ticket ahakikishe nakaa na mkaka
Hahahah rafiki zangu hakuna mwenye ratiba ya kuwa na mtoto
Ngoja niangalie kwa ndugu labda nijaribu


Mie ile ya kulazimishwa kutazama mifilamu yao tena ya kutafsiriwa ndio kero yangu kuu.
Sent using Jamii Forums mobile app


umeshamuona mchina IPman wewe?Viungo vyako vya 'jinsia' ya kike vimekamilika kweli?
Mwanamke kuwa na kinyaa ni kujisahau kumbuka tu unapokuwa kwenye Anga LA lokabi kuelekea mwezini mnakuwaga na kaharufu amazing Ila mnavumiliwa kinyaa kwa mwanamke nao ni Ushamba tu
Sent from my Infinix_X521 using JamiiForums mobile app
..... tutakutana tu siku🤣 mundende bwiiiii..... ila siyo msumbufu hata kdogo! Nikitaka kutongoza nakuomba ruhusa ukininyima natulia tuliii....yaani chochote mpaka upende ww! Sina makuu.... sijalewa kiiivyoooo nikashindwa kuchangia mada![]()
na hindi la kuchemsha...
Ilishawahi kunikuta hii nilibeba mtoto masaa 9 mama yake akawa analala tu bila aibu, mtoto akienda kwake anamuuliza unamtaka ankoo uende kwa ankoo.Bila kusahau wale kina mama wanaosafiri na watoto wawili huku wamekata seat moja
Nilishawahi kujikuta dada msaidizi wa mtoto mwanzo hadi mwisho wa safari,yaaani kale kadogo nimekashikilia mimi,kale kengine kadada mtu kameshikwa na mama yake
Mbaya zaidi kale katoto kalinipenda na kunizoea mapema sana,kila muda dada hivi dada vile mara kanilishe vitu kanavyopewa na mama yake
Sio kwa ubaya,lakini ni usumbufu...kama una watoto wadogo wawili jitahidi kuweka seat mbili aseee
Siku hizi namuagiza anayenikatia ticket ahakikishe nakaa na mkaka
Unaanzaje kwanza?Pia unakuta yeye wakati ni mdogo mama yake aliwahi kusafiri nae akiwa na mdogo wake na akabebwa na abiria wa jirani, Mimi sijawahi kuwanyanyasa kabisa wa mama wenye watoto na mizigo mana ndio nature ya mama zetu, Naweza kukoromeana na Age mates au Mwanaume mwenzangu ila sio wamama kabisa