Rabonn
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 5,788
- 11,148
Kwa kinyaa hicho bila shaka hata Denda hulagii 😎😎 wala kuchamba huchambi 😁😁Nina kinyaa ambacho sio cha hii dunia
Sikula chochote
Kwa kinyaa hicho bila shaka hata Denda hulagii 😎😎 wala kuchamba huchambi 😁😁Nina kinyaa ambacho sio cha hii dunia
Sikula chochote
Nimecheka hapo kwenye kufungua butiHahaha! Umenikumbusha beki tatu mmoja nilikjwa natoka Mtwara sasa ile asubuhi gari ikasimama maeneo ya Mnazi Mmoja Lindi kama saa tatu asubuhi hivi, sasa yule beki 3 akanunua miwa ya 1000 ambayo haijamenywa, nilidhanilabda ni zawadi huko aendako,
doooh akaanza kuimenya na meno na kuanza kuila hehehe! Akajaza dust bin ya gari na makapi ya miwa na hakuchukua round akaanza kutapika juice ya miwa alitapika sana vitenge vyake vyote vililowa matapishi hadi vingine ilibidi gari isimame achukue bag kwenye buti ili atoe vitenge vya ziada.
Na sie tunaokaa pwan kwenye dala dala ful mawaidha tena ya kukashifu upande wa pili yale .Hamna tabia inanikwaza na kuniudhi kama kuweka nyimbo za dini za kikristo full time, basi bora hata wangekuwa wanabalance na nyimbo za wenzetu waislam Hamna.
Yaani watendaji wa mabasi hawana ubunifu kabisa.
Una roho ndogo sana.Nilishangaa sana jamaa aliponiomba ear phones asikilize muziki. Seriously unaomba earphones za mtu humjui hakujua. Niliona kama kanidharau, hivi unaanzaje kuomba earphones.
Hata mimba changa hana huyu unaongea na vitu above level yake..Vitu vinavyoondoa kinyaa ni safari za nchi za nje, kuuguza na uzazi. Kama ukiyapitia hayo yote na ukabaki na kinyaa basi hakiwezi kuisha.
Ahahahaha nimezipenda hiz statement honestly.......Vinyaa vinyaa hivi visivyo na msingi ...
.......nikaona naelekea kubaya.
Kuna watu mliumbwa rojo rojo sana.sometimes nasomaga come kama hiz halaf najaribu kuzi relate na maish yangu dooh!!japo sio sifa ila naona kabisa vitu vngine sio vya kulalamika.ni vya kawaida sanaHiyo namba 2 huwa inanikera Sana
Nikishakaa na mtu anafungua madirisha, asiponisikia nikimwambia namwita konda anihamishe siti..kuumizana tu vichwa
Nimeshawahi hama siti mara kibao kwa huu upuuzi wa mtu kufungua fungua madirisha,sijui wanakuwa na vichwa vya chuma waleupepo mkali namna ile hauwaumizi
,mtu anapambana tu kufungua madirisha utadhani sifa
Mwingine unakuta amekaa siti ya mbele yako anafungua dirisha ule upepo wote unakuja kuwapiga nyuma,nitavumilia kero zote safarini ila si hii ya kufunguliana madirisha hovyo.
Nahiyo #4,kuna majitu utadhani Yana ving'ora midomoni,yaani kuna mtu aliwahi kukaa nyuma ya siti yangu,jamani jamani linapayuka hilo hadi ngoma za sikio zinauma
Jitu zima linashangilia movie ndani ya basi kwa kelele utadhani tupo uwanja wa maonyesho ya sinema![]()
Ajahaha mbuzi wa bday 😂😂 nimekutana nayo hii aise kwenye mabas wanatuwezaa!!!Kero yangu:-
- Wale wanaotangaza dawa na vibiashara vingine kwenye bus. Sijui kwanini dereva na konda huwa wanawaruhusu hawa watu wenye kero hivyo watupigie kelele abiria
- Wanavyoweka filamu zilizotafsiriwa au za kibongo za hovyohovyo za kina Mau n.k filamu inaitwa Bangi, au eti mbuzi wa birthday na action za kipumbavu za bongo.
Hasa magari yanayokwenda Tanga
na sijasema nilikuwa napokeaAhajahaja...uta mind vp zaid ya kufarahia na ushasema kila kitu alikua anakula anakupa na ww![]()



Wajinga sanaAjahaha mbuzi wa bdaynimekutana nayo hii aise kwenye mabas wanatuwezaa!!!
Hao laanatullah inabidi tu uwapuuze kwasababu hawana elimu hao, kwenye ubongo kuna juzuu na laana tuNa sie tunaokaa pwan kwenye dala dala ful mawaidha tena ya kukashifu upande wa pili yale .
Na ndan tumejaa abiria.utafanyaje sasa?
Ndio hivyo tuvumiliane tu
Kuna watu utopolo sana.Kwa kweli kuna mdada mmoja nilikaa nae siti moja alikuwa anatapika hasa akila kitu. Ila cha ajabu kila kitu akiona kwenye gari ananunua na akila anatapika. Yaani alinikera sana yule mdada siku ile.
Hata mtu kuwa busy na simu yake inakukera mkuu?Usisahau na wale kila mda wanaopiga simu kuongea na wapenzi wao yan kila mda baby ndo tuko.... Baby ndo tunaelekea lunch...yan alaf ukute ana smartphone kila mda inachokonolewa kama mtu flan busy mweny text nyng na email
Hii iko sana Kigoma na usukumani, unakuta mama ana watoto watatu na mimba juu alafu anakata siti moja, magari yenyewe 3 by 2! Utaomba ukakae kwa Dereva. Alafu ana mafurushi kibao na dumu la Maji, maziwa mtindi na ugali! Mkuu acha kabisa, nimekaa tabora nimeyashuhudia siyo kwa kuhadithiwa. HatariiiBora wawili, niliwahi kukaa na mama ana watoto watatu imagine, halafu kakata siti moja tu! Ilibidi tu nimuelewe tubanane hivyo hivyo na kupakata mmoja maana hakukua na namna.
Sent using Jamii Forums mobile app