Tabia ya Waarabu kugawa nyama misikitini imekaaje?

Tabia ya Waarabu kugawa nyama misikitini imekaaje?

Ni ujinga ulioje kuhusisha sadaka na kafara.

Kukubali au kukataa ni hiari ya mtu, kwani ukiwa na uwezo ni wajibu uwaachie nafasi wasiokuwa na uwezo
Dah, kuna uhusiano mwembamba sana kati ya sadaka na kafara hasa hizi za kuchinjachinja. Aina hizo za sadaka biblia inasema watu wasile nyama za sadaka zilizotolewa kwa miungu yani ukila unakuwa mshirika wao automatically.
 
Kama kilivyo kichwa cha habari hapo juu kujitolea ni jambo zuri sana ila pia inatakiwa uangalie huko kujitolea kwako kuna faida gani na hiyo faida ni yakuendelea au ni ya muda mfupi, watu wanasema ni heri ukampa mtu mbegu ya tunda kuliko tunda.

Tuendelee...
Hii kitu kusema ukweli haiingii akilini mwangu kabisa, jamaa wanakuja kwa mwezi hata mara 3 au zaidi na wanachinja ng'ombe, mbuzi, kondoo, yaani jumla inaafika 70 na zaidi kila mtu anapata nyama kg 1 mchele kg1 yaani hata mkitoka familia yote kwenu kila kichwa cha mtu kitapata hivyo; pia huwa inategemeana na siku hiyo kama kuna watu kiasi gani.

Na ni misikiti yote huko kijijini nilikotoka, huwa wanahama tu leo huku kesho kule.

Swali, wanatoa wapi hizi hela hawa Waarabu, au wametuona sisi tuna shida na nyama na wali kuliko elimu au vitu vingine?

Na je, ni kweli hao watu wanaowapa nyama shida yao ni nyama tu?

Na mwisho wake lini? Maana ndugu ukishuhudia hiyo mifugo inayochinjwa, lazima utajiuliza maswali mengi!

Nawasilisha akina nani, msije na hasira.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Yaani mtu ameamua kutoa kama SHUKRAN kwa YULE ALIYEMRUZUKU halafu umpangie akusomeshee mwanao elimu ambayo uhakika wa KURIDHIWA NA MOLA MLEZI HAUJUI.....[LEO KUNA WATU TUMESOMESHA KAMA TAIFA LAKINI WANATETEA USHOGA]


Mola Mlezi humwongezea anayetoa hivyo kama vigezo na mashart yote yamezingatiwa [vigezo vya kiimani na sheria za nchi] sioni shida...
 
Kama kilivyo kichwa cha habari hapo juu kujitolea ni jambo zuri sana ila pia inatakiwa uangalie huko kujitolea kwako kuna faida gani na hiyo faida ni yakuendelea au ni ya muda mfupi, watu wanasema ni heri ukampa mtu mbegu ya tunda kuliko tunda.

Tuendelee...
Hii kitu kusema ukweli haiingii akilini mwangu kabisa, jamaa wanakuja kwa mwezi hata mara 3 au zaidi na wanachinja ng'ombe, mbuzi, kondoo, yaani jumla inaafika 70 na zaidi kila mtu anapata nyama kg 1 mchele kg1 yaani hata mkitoka familia yote kwenu kila kichwa cha mtu kitapata hivyo; pia huwa inategemeana na siku hiyo kama kuna watu kiasi gani.

Na ni misikiti yote huko kijijini nilikotoka, huwa wanahama tu leo huku kesho kule.

Swali, wanatoa wapi hizi hela hawa Waarabu, au wametuona sisi tuna shida na nyama na wali kuliko elimu au vitu vingine?

Na je, ni kweli hao watu wanaowapa nyama shida yao ni nyama tu?

Na mwisho wake lini? Maana ndugu ukishuhudia hiyo mifugo inayochinjwa, lazima utajiuliza maswali mengi!

Nawasilisha akina nani, msije na hasira.
We kapange foleni upewe nyama pia
Acha kujaza server za Jf
 
Dah, kuna uhusiano mwembamba sana kati ya sadaka na kafara hasa hizi za kuchinjachinja. Aina hizo za sadaka biblia inasema watu wasile nyama za sadaka zilizotolewa kwa miungu yani ukila unakuwa mshirika wao automatically.
Hayo ya wakristo kwa waislamu kwanza hakuna miungu hiyo inakuwa ni shirki. Kwa urahisi tu ni kwamba kama hutaki unawacha na hasa ukiwa na uwezo kifedha huruhusiwi kuchukuwa sadaka unatakiwa uwape fursa wasiokuwa na uwezo.
 
waarabu sina wasiwasi nao ila wahindi na waborat ogopa sana
 
it's a ritual among arabs, no free meal. nyuma ya pazia kuna mambo mengi yanafanyika kuhusiana na hizo nyama wanazogawa.

waswahili na njaa zenu huwa hata hamjiulizi,mnapokea tu na kwenda kula na familia zenu.

kuna tajiri mmoja maarafu sana hapa tz(muarabu), kugawa nyama kwa wafanyakazi wake ni moja ya kafara zake. baadhi huwa hawapokei.
Sawa

Zima wadhuru vipi hao walaji!!?

Tupe mrejesho mkuu!!
 
KAA NA MBALI NA HIZO NYAMA ZA WAARABU MKUU, WENGI WANAROGEZEA NA KUNUIA MAJINI NA MIZIMU YA KWAO
Leta ushuhuda na watu waliokuwa misukuke

Mimi nilipita Jordan baada ya kukimbia vita ya Iraq tukapewa ghorofa na kuishi humo bure
Chakula walikuwa wanaleta kila kukicha
Nyama zilikuwa kila siku
Sasa hapo sijaona msukule hata mmoja bali ni sadaka tu

Bora kutoa sadaka unayojua inaenda wapi kuliko kutoa sadaka inayomfaidisha mtu mmoja anaekuja kufungua shule, hospital, na hata zahanati ili uende ukalipie tena

Hizi zana za kusema mnalishwa vingi nafikiri tunaona live kwenye mitandao wakirekodiwa mama ntilie na uchafu wao

Mimi pia nimechinja sana kwa sadaka na ni jambo jema tu
Huwezi kuwapa mtaji wote bali wanaweza kula wote kwa siku
 
Kama kilivyo kichwa cha habari hapo juu kujitolea ni jambo zuri sana ila pia inatakiwa uangalie huko kujitolea kwako kuna faida gani na hiyo faida ni yakuendelea au ni ya muda mfupi, watu wanasema ni heri ukampa mtu mbegu ya tunda kuliko tunda.

Tuendelee...
Hii kitu kusema ukweli haiingii akilini mwangu kabisa, jamaa wanakuja kwa mwezi hata mara 3 au zaidi na wanachinja ng'ombe, mbuzi, kondoo, yaani jumla inaafika 70 na zaidi kila mtu anapata nyama kg 1 mchele kg1 yaani hata mkitoka familia yote kwenu kila kichwa cha mtu kitapata hivyo; pia huwa inategemeana na siku hiyo kama kuna watu kiasi gani.

Na ni misikiti yote huko kijijini nilikotoka, huwa wanahama tu leo huku kesho kule.

Swali, wanatoa wapi hizi hela hawa Waarabu, au wametuona sisi tuna shida na nyama na wali kuliko elimu au vitu vingine?

Na je, ni kweli hao watu wanaowapa nyama shida yao ni nyama tu?

Na mwisho wake lini? Maana ndugu ukishuhudia hiyo mifugo inayochinjwa, lazima utajiuliza maswali mengi!

Nawasilisha akina nani, msije na hasira.
kwanza hawagawi kilo moja bali awa ni kilo 2na nusu za mchele na nyama sawa na kilo 5 kwa mtu 1 familia ya watu 6 sawa na kilo 30 kilo 15 za mchele kwa bei ya njaa ya mwaka huu sawa 60000 kilo 15 zanyama kwa bei ya mwaka huu swa 135000 watu wanapewa kila wiki huo nimsaada kwa watu wasio jiweza na njaa ya mwaka huu chakula kiko juu

alafu wewe unaongelea habari ya elimu elimu bila shibe alafu huyo katoa msaaada wa mchele na mbogo wewe jenga shule kibaya zaidi kutoa msaada utoi anae toa unamponda hii ndio roho mbaya ya chuki inayo weza kukufanya uugue ugonjwa wa moyo
 
kwanza hawagawi kilo moja bali awa ni kilo 2na nusu za mchele na nyama sawa na kilo 5 kwa mtu 1 familia ya watu 6 sawa na kilo 30 kilo 15 za mchele kwa bei ya njaa ya mwaka huu sawa 60000 kilo 15 zanyama kwa bei ya mwaka huu swa 135000 watu wanapewa kila wiki huo nimsaada kwa watu wasio jiweza na njaa ya mwaka huu chakula kiko juu

alafu wewe unaongelea habari ya elimu elimu bila shibe alafu huyo katoa msaaada wa mchele na mbogo wewe jenga shule kibaya zaidi kutoa msaada utoi anae toa unamponda hii ndio roho mbaya ya chuki inayo weza kukufanya uugue ugonjwa wa moyo
Usihangaike nao hao
Utakuta yeye mwenyewe tegemezi

Binadamu wachache sana wenye shukurani
 
Wao wamekuletea nyama na wali sasa kwann hizo shida zingine kama elimu na nyinyi simjitahidi kuzitatua nyinyi wenyewe?

Kwamba nyinyi waafrika mmekuja duniani kukaa tu na kusubilia kutatuliwa shida zenu zote na waarabu au wazungu?

Alafu kingine hawajakushikia bunduki kwenda kuchukua hizo nyama sasa sijui ww kinacho kuuma ni nn hasa.
Anawashwa, anakazo ya kufanya
 
Nilipata bahati kwenda Muscat ikifika mwezi wa ramadhani watu ufungua mageti misosi inapangwa unafanywa kuvutwa shati upate ata maziwa tu .watu wanajaza misosi kwenye Rangerover kutafuta walaji .ukifika mwezi wa huo sijawahi pika geto
Lakini muda huo huo wanawatesa sana wadada wa kazi weusi, maarabu majitu ya ajabu kabisa
 
Kama kilivyo kichwa cha habari hapo juu kujitolea ni jambo zuri sana ila pia inatakiwa uangalie huko kujitolea kwako kuna faida gani na hiyo faida ni yakuendelea au ni ya muda mfupi, watu wanasema ni heri ukampa mtu mbegu ya tunda kuliko tunda.

Tuendelee...
Hii kitu kusema ukweli haiingii akilini mwangu kabisa, jamaa wanakuja kwa mwezi hata mara 3 au zaidi na wanachinja ng'ombe, mbuzi, kondoo, yaani jumla inaafika 70 na zaidi kila mtu anapata nyama kg 1 mchele kg1 yaani hata mkitoka familia yote kwenu kila kichwa cha mtu kitapata hivyo; pia huwa inategemeana na siku hiyo kama kuna watu kiasi gani.

Na ni misikiti yote huko kijijini nilikotoka, huwa wanahama tu leo huku kesho kule.

Swali, wanatoa wapi hizi hela hawa Waarabu, au wametuona sisi tuna shida na nyama na wali kuliko elimu au vitu vingine?

Na je, ni kweli hao watu wanaowapa nyama shida yao ni nyama tu?

Na mwisho wake lini? Maana ndugu ukishuhudia hiyo mifugo inayochinjwa, lazima utajiuliza maswali mengi!

Nawasilisha akina nani, msije na hasira.
Yale ni makafara wanazidi kuwafanya wajinga na malofa.
 
Back
Top Bottom