SoC01 Tabia ya polisi kupiga watuhumiwa

Stories of Change - 2021 Competition
Jul 29, 2021
81
158
Kisheria mtu anahesabiwa kuwa ni mtu mwenye haki mpaka pale ambapo mahakama ita thibitisha kuwa huyu mtuhumiwa amefanya kweli hayo makosa anayoshutumiwa kufanya.

Na kama mtu ambaye ametuhumiwa tu, ana haki zake sawa na raia wa kawaida tu, hivyo, hizo haki zinatakiwa ziheshimiwe mpaka pale itakavyo thibitishwa kinyume kwasababu wakati mwingine mtu huyo anaweza kuwa amesingiziwa au Ni chuki tu au Kuna mazingira ambayo yamefanya mpaka akamatwe lakini yeye hana kosa lolote lile.

Hivyo polisi wanatakiwa wamchukue kwa kuzingatia haki zakusubiri akisubiri hukumu.

Kitu cha kusikitisha ni kwamba hawa polisi wa Kitanzania huwa wakimkamata mtuhumiwa yeyote cha Kwanza humpiga sana kabla hata hawajaambiawa au kujua kama kweli amefanya hilo kosa au la. Huwa Watuhumiwa wanachukuliwa kwa nguvu na ma askari hao huku wakiwa wakipigwa makofi, mateke na kutupwa kwenye magari hayo na kupelekwa katika kituo cha polisi na wakati wako njiani bado polisi hao huendelea kuwapiga watuhumia hao sehemu mbalimbali bila kujali.
Sio kwamba ninayasema haya bila kuwa na ushahidi wowote , hili tukio limeshatokea kwa mtu wa karibu yangu.

Siku hiyo walikuja kumkamata kaka yangu,nyumbani kwetu akiwa chumbani kwake. Walimtoa kwa nguvu kutoka ndani wakiwa wamefunga mikono na miguu yake na bado wakiendelea kumpiga tu bila Sababu yoyote na bado walipomweka kwenye gari waliendelea kumpiga.

Hata hivi ninavyoyaandika haya maneno ninajawa na uwoga sana na kujiuliza hivi kwa kile kipigo ningempoteza kaka yangu ingekuwaje? Kiukweli watu wengi wamepoteza ndugu zao kwa huu ukatili wa mapolisi.

Unakuta mtuhumiwa amepelekwa polisi alafu baadae ndugu zake wanaambiwa kuwa mtuhumiwa amekufa akiwa kituo Cha polisi, wakiuliza Sababu wanaambiwa aliumwa au alijinyonga. Sasa utajiuliza mtu anajinyongaje akiwa kituo cha polisi.

Huwa mara nyingi Watuhumiwa hufa kwasababu ya maumivu waliyoyapata kutokana na vipigo wanavyopewa kuanzia wanavyokamatwa.

Sisi kama vijana tunawajibu wa kuliongelea na kulidhihirisha hili tatizo , ili watu waache kulichukulia kama Ni Jambo la kawaida. Serikali naiomba iingilie kati na iache kuyafukia fukia haya mambo, Jeshi la Polisi liache kuficha haya matendo na ichukue hatua ya kuwaelimisha polisi ili wafuate njia na utaratibu unaofaa wakati wa kumkamata mtuhumiwa na sio kufanya sifa eti kumpiga mtuhumiwa ili aweze kuonekana anafanya kazi.

Na Jambo kama hili linapotokea walidhihirishe kwenye vyombo vya habari ili watu wajue na wajifunze.

Tusisubiri mpaka Jambo la kusikitisha litokee mtandaoni ndio tujifunze, tuchukue hatua sasa.
 
Safi Kwa kupaza sauti polisi wetu Wana changamoto hii ivyo ni vyema elimu ya kutosha ikatolewa.

Polisi ni raia kabla ya dhamana walizonazo ivyo inawapasa kuzingatia haji za raia webzao kwani maisha ni duara.

Pengine elimu ya kutosha juu ya wajibu wao ingeongezwa na pia namna zao za uwajibishwaji.
 
Safi Kwa kupaza sauti polisi wetu Wana changamoto hii ivyo ni vyema elimu ya kutosha ikatolewa.

Polisi ni raia kabla ya dhamana walizonazo ivyo inawapasa kuzingatia haji za raia webzao kwani maisha ni duara.

Pengine elimu ya kutosha juu ya wajibu wao ingeongezwa na pia namna zao za uwajibishKwakweli wakweli

Safi Kwa kupaza sauti polisi wetu Wana changamoto hii ivyo ni vyema elimu ya kutosha ikatolewa.

Polisi ni raia kabla ya dhamana walizonazo ivyo inawapasa kuzingatia haji za raia webzao kwani maisha ni duara.

Pengine elimu ya kutosha juu ya wajibu wao ingeongezwa na pia namna zao za uwajibishwaji.
Hii Ni changamoto kubwa sana, kwasababu watu wamekuwa wakiumizwa na wengine kupoteza maisha wakiwa katika mikono ya polisi.
 
Kisheria mtu anahesabiwa kuwa ni mtu mwenye haki mpaka pale ambapo mahakama ita thibitisha kuwa huyu mtuhumiwa amefanya kweli hayo makosa anayoshutumiwa kufanya.

Na kama mtu ambaye ametuhumiwa tu, ana haki zake sawa na raia wa kawaida tu, hivyo, hizo haki zinatakiwa ziheshimiwe
Sio kama hawajui sheria inakataza hayo
 
Kisheria mtu anahesabiwa kuwa ni mtu mwenye haki mpaka pale ambapo mahakama ita thibitisha kuwa huyu mtuhumiwa amefanya kweli hayo makosa anayoshutumiwa kufanya.

Na kama mtu ambaye ametuhumiwa tu, ana haki zake sawa na raia wa kawaida tu, hivyo, hizo haki zinatakiwa ziheshimiwe mpaka pale itakavyo thibitishwa kinyume kwasababu wakati mwingine mtu huyo anaweza kuwa amesingiziwa au Ni chuki tu au Kuna mazingira ambayo yamefanya mpaka akamatwe lakini yeye hana kosa lolote lile.

Hivyo polisi wanatakiwa wamchukue kwa kuzingatia haki zakusubiri akisubiri hukumu.

Kitu cha kusikitisha ni kwamba hawa polisi wa Kitanzania huwa wakimkamata mtuhumiwa yeyote cha Kwanza humpiga sana kabla hata hawajaambiawa au kujua kama kweli amefanya hilo kosa au la. Huwa Watuhumiwa wanachukuliwa kwa nguvu na ma askari hao huku wakiwa wakipigwa makofi, mateke na kutupwa kwenye magari hayo na kupelekwa katika kituo cha polisi na wakati wako njiani bado polisi hao huendelea kuwapiga watuhumia hao sehemu mbalimbali bila kujali.
Sio kwamba ninayasema haya bila kuwa na ushahidi wowote , hili tukio limeshatokea kwa mtu wa karibu yangu.

Siku hiyo walikuja kumkamata kaka yangu,nyumbani kwetu akiwa chumbani kwake. Walimtoa kwa nguvu kutoka ndani wakiwa wamefunga mikono na miguu yake na bado wakiendelea kumpiga tu bila Sababu yoyote na bado walipomweka kwenye gari waliendelea kumpiga.

Hata hivi ninavyoyaandika haya maneno ninajawa na uwoga sana na kujiuliza hivi kwa kile kipigo ningempoteza kaka yangu ingekuwaje? Kiukweli watu wengi wamepoteza ndugu zao kwa huu ukatili wa mapolisi.

Unakuta mtuhumiwa amepelekwa polisi alafu baadae ndugu zake wanaambiwa kuwa mtuhumiwa amekufa akiwa kituo Cha polisi, wakiuliza Sababu wanaambiwa aliumwa au alijinyonga. Sasa utajiuliza mtu anajinyongaje akiwa kituo cha polisi.

Huwa mara nyingi Watuhumiwa hufa kwasababu ya maumivu waliyoyapata kutokana na vipigo wanavyopewa kuanzia wanavyokamatwa.

Sisi kama vijana tunawajibu wa kuliongelea na kulidhihirisha hili tatizo , ili watu waache kulichukulia kama Ni Jambo la kawaida. Serikali naiomba iingilie kati na iache kuyafukia fukia haya mambo, Jeshi la Polisi liache kuficha haya matendo na ichukue hatua ya kuwaelimisha polisi ili wafuate njia na utaratibu unaofaa wakati wa kumkamata mtuhumiwa na sio kufanya sifa eti kumpiga mtuhumiwa ili aweze kuonekana anafanya kazi.

Na Jambo kama hili linapotokea walidhihirishe kwenye vyombo vya habari ili watu wajue na wajifunze.

Tusisubiri mpaka Jambo la kusikitisha litokee mtandaoni ndio tujifunze, tuchukue hatua sasa.
Sheria zinavunjwa sana na sio kama hawajui ni kosa kisheria, ila wanajisahau kuwa cheo ni dhamana tu
 
Polisi inabidi wafundishwe kozi ya sheria ambayo itakuwa ni mandatory. Most of them ni illiterates

Wangekuwa na uelewa kuhusu law wasingekuwa walivyo

Nadhani huu ni ushauri mkubwa na mzuri Sana. Na nadhani Ni muhimu sana kwa kila askari kuwa na uelewa wa haki za Watuhumiwa. Asante mkuu kwa mchango wako mzuri Sana.

Karibu unipigie kura kwenye nakala zangu zingine pia🙏
 
Kisheria mtu anahesabiwa kuwa ni mtu mwenye haki mpaka pale ambapo mahakama ita thibitisha kuwa huyu mtuhumiwa amefanya kweli hayo makosa anayoshutumiwa kufanya.

Na kama mtu ambaye ametuhumiwa tu, ana haki zake sawa na raia wa kawaida tu, hivyo, hizo haki zinatakiwa ziheshimiwe mpaka pale itakavyo thibitishwa kinyume kwasababu wakati mwingine mtu huyo anaweza kuwa amesingiziwa au Ni chuki tu au Kuna mazingira ambayo yamefanya mpaka akamatwe lakini yeye hana kosa lolote lile.

Hivyo polisi wanatakiwa wamchukue kwa kuzingatia haki zakusubiri akisubiri hukumu.

Kitu cha kusikitisha ni kwamba hawa polisi wa Kitanzania huwa wakimkamata mtuhumiwa yeyote cha Kwanza humpiga sana kabla hata hawajaambiawa au kujua kama kweli amefanya hilo kosa au la. Huwa Watuhumiwa wanachukuliwa kwa nguvu na ma askari hao huku wakiwa wakipigwa makofi, mateke na kutupwa kwenye magari hayo na kupelekwa katika kituo cha polisi na wakati wako njiani bado polisi hao huendelea kuwapiga watuhumia hao sehemu mbalimbali bila kujali.
Sio kwamba ninayasema haya bila kuwa na ushahidi wowote , hili tukio limeshatokea kwa mtu wa karibu yangu.

Siku hiyo walikuja kumkamata kaka yangu,nyumbani kwetu akiwa chumbani kwake. Walimtoa kwa nguvu kutoka ndani wakiwa wamefunga mikono na miguu yake na bado wakiendelea kumpiga tu bila Sababu yoyote na bado walipomweka kwenye gari waliendelea kumpiga.

Hata hivi ninavyoyaandika haya maneno ninajawa na uwoga sana na kujiuliza hivi kwa kile kipigo ningempoteza kaka yangu ingekuwaje? Kiukweli watu wengi wamepoteza ndugu zao kwa huu ukatili wa mapolisi.

Unakuta mtuhumiwa amepelekwa polisi alafu baadae ndugu zake wanaambiwa kuwa mtuhumiwa amekufa akiwa kituo Cha polisi, wakiuliza Sababu wanaambiwa aliumwa au alijinyonga. Sasa utajiuliza mtu anajinyongaje akiwa kituo cha polisi.

Huwa mara nyingi Watuhumiwa hufa kwasababu ya maumivu waliyoyapata kutokana na vipigo wanavyopewa kuanzia wanavyokamatwa.

Sisi kama vijana tunawajibu wa kuliongelea na kulidhihirisha hili tatizo , ili watu waache kulichukulia kama Ni Jambo la kawaida. Serikali naiomba iingilie kati na iache kuyafukia fukia haya mambo, Jeshi la Polisi liache kuficha haya matendo na ichukue hatua ya kuwaelimisha polisi ili wafuate njia na utaratibu unaofaa wakati wa kumkamata mtuhumiwa na sio kufanya sifa eti kumpiga mtuhumiwa ili aweze kuonekana anafanya kazi.

Na Jambo kama hili linapotokea walidhihirishe kwenye vyombo vya habari ili watu wajue na wajifunze.

Tusisubiri mpaka Jambo la kusikitisha litokee mtandaoni ndio tujifunze, tuchukue hatua sasa.
Ni muhimu kuwafungulia mashtaka kwa sababu huwezi kurekebisha kosa kwa kufanya kosa, huo wanaotenda ni uhalifu kama uhalifu mwingine jambo la kuzingatia ni raia acheni woga wa kuwachukulia hatua polisi ndio mnawalemaza hivo.

Omba fomu ya hospitali inaitwa pf3 nenda hospitali tibiwa kisha fungua mashitaka ya jinai kama rpc atakugomea nenda kwa IJP akikugomea nenda kwa waziri naye akigoma nenda kwa rais, kwa kufanya hivi mtakuwa mmesaidia hata wale wasio na uwezo wa kuchukua hatua hizi.
 
Pambaneni kuitoa CCM madarakani kwanza sio polisi polisi,ujinga ujinga tu nchi hii inawatu wahovyo sana ,Kila siku kuanzisha mada wasizoweza kuzipatia majibu zaidi ya kulalamika tu pumbavu
 
Back
Top Bottom