angelita
JF-Expert Member
- Jun 13, 2013
- 3,017
- 2,446
kwahiyo size yako ni yule wa kumpiga mizinga.
Mimi sikupigi mizinga nikiona mpenda vya bure nakupiga chini, bahati nzuri niliyenaye anajua wajibu wake bila kuambiwa anatekeleza.
kwahiyo size yako ni yule wa kumpiga mizinga.
thamani yako ni ipi hasa mpaka useme mpenda vya bure,we kujipendezesha ni wajibu wangu?Mimi sikupigi mizinga nikiona mpenda vya bure nakupiga chini, bahati nzuri niliyenaye anajua wajibu wake bila kuambiwa anatekeleza.
kama najua unazo, ukiniomba skupi af na mimi sku mojamoja nakuomba.....kwan sh.ngapi?
thamani yako ni ipi hasa mpaka useme mpenda vya bure,we kujipendezesha ni wajibu wangu?
hawa ndo wanawake wa dot com tulionaohapo sasa! Huu wajibu mwingne nao, dependency haitaisha kwa style hii
Dedication:
Miss Independence (independent queen) by Neyo feat. Jimmy Foxy et al
Hahhaaaaahaah hela vs pauchi na yeye akiomba dushelele je hela inahitajika??
Kwaiyo unataka vya bureeee
Akikuomba hela na wewe omba Papuchi...
Mh ciku hizi demu unamtongoza asubuhi jioni anaomba pesa
Mimi sikupigi mizinga nikiona mpenda vya bure nakupiga chini, bahati nzuri niliyenaye anajua wajibu wake bila kuambiwa anatekeleza.
aisee umentamanisha neha mimi, nisaidieni na mimi bas..Hahahahaaa hapo utaskia shida kibaaooo halaf kibao kitarud kwako ........ila kiukweli mi na bf wang tunasaidiana akiwa hana nampa ila sio kila mara tukiwa na shida tuu
Kwani si wote tunasikia raha au raha kwa mwanaume tu
Dogo langu hiloooooo! I CANT BE MORE PROUD OF YOU SIO KUKOPWA KOPWW HOVYO!:hug::hug::hug::hug::hug:Mimi sikupigi mizinga nikiona mpenda vya bure nakupiga chini, bahati nzuri niliyenaye anajua wajibu wake bila kuambiwa anatekeleza.
Endelea kujidanganya na huo mfumo wa kila mtu anajiskia raha ndio nyie wanawake wazuri mnaishiaga kuwaita shemeji.......isiwe tabu mwanaume wangu kanzoesha pesaaa na anajua wajib wake ipasavyo......vijana wanuka mkojo mara nyingi hupenda vya bure