Tabia ya kuomba omba sio nzuri kwa wadada

Tabia ya kuomba omba sio nzuri kwa wadada

neha mimi

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2014
Posts
344
Reaction score
152
Habari zenu marafiki, nimekuwa najiuliza hivi hii ni tabia, desturi,sheria au kujiendekeza tuu.

Utakuta mdada anafanya kazi na anapata mshahara mzuri lakini mdada huyo kutwa kuomba hela kwa boyfriend mara baby hela ya saloon, cjui nguo na mengineyo.

Utajiuliza huyu hela zake anafanyia ninI, akiamua kukupa mwenyewe its okay ila sio kila saa utasema unamdai?

Wadada tubadilike jamani kuomba omba sana utazoeleka hata siku ukipata shida ya serious mtu atashindwa kukusaidia coz ni kawaida yako.

Wengine sasa sio hata kwa boyfriend tuu yaani yeye asikuzoee kidogo tu kosa kesho yake ataomba hela.

Hii ni tabia mbaya jamani tubadilikeni hata siku ikitokea umeomba hela mtu anashangaa anajua kweli umebanwa coz sio kawaida yako

Ni hayo tuu🙂
 
Habari zenu marafiki,nimekuwa najiuliza hivi hii ni tabia,desturi,sheria au kujiendekeza tuu.utakuta mdada anafanya kazi na anapata mshahara mzuri lakini mdada huyo kutwa kuomba hela kwa boyfrnd mara baby hela ya saloon,cjui nguo na mengineyo sasa utajiuliza huyu hela zake anafanyia nin,akiamua kukupa mwenyew its okeey ila sio kila saa utasema unamdai??wadada tubadilike jaman kuomba omba sana utazoeleka hata siku ukipata shida ya serious mtu atashindwa kukusaidia cz ni kawaida yako......wengine sasa sio hata kwa boyfriend tuu yan yeye asikuzoee kidogo tu kosa kesho yake ataomba hela.....hii ni tabia mbaya jaman tubadilikeni hata siku ikitokea umeomba hela mtu anashangaa anajua kweli umebanwa cz sio kawaida yako

Ni hayo tuu🙂

Mila na desturi zetu ziliwafanya kuwa tegemezi na wameshindwa kubadilika hata pale ambapo wamesoma!
 
Habari zenu marafiki,nimekuwa najiuliza hivi hii ni tabia,desturi,sheria au kujiendekeza tuu.utakuta mdada anafanya kazi na anapata mshahara mzuri lakini mdada huyo kutwa kuomba hela kwa boyfrnd mara baby hela ya saloon,cjui nguo na mengineyo sasa utajiuliza huyu hela zake anafanyia nin,akiamua kukupa mwenyew its okeey ila sio kila saa utasema unamdai??wadada tubadilike jaman kuomba omba sana utazoeleka hata siku ukipata shida ya serious mtu atashindwa kukusaidia cz ni kawaida yako......wengine sasa sio hata kwa boyfriend tuu yan yeye asikuzoee kidogo tu kosa kesho yake ataomba hela.....hii ni tabia mbaya jaman tubadilikeni hata siku ikitokea umeomba hela mtu anashangaa anajua kweli umebanwa cz sio kawaida yako

Ni hayo tuu🙂

Haaaah sasa munataka sisi tuishije na akati munavutiwa na vinavyong'ara. Toeni hela watoto tupendezeee
 
Hata mi napataga shida kuwadefine wadada wa namna hii. Yaani wanajua tu kwamba wao ni wa kuombaomba tu hata kama wana uwezo. Alafu kesho wakisimama majukwaani wanasema 50/50. Inaonyesha kabisa from within ni tegemez hata kama ana uwezo wa kujitegemea
 
Unafurahia ukiona amependeza afu anang'ara, unajisikia fahari mbele za rafiki zako kugharamia hutaki, ila kuvua pichu yake usiyojua gharama yake unapenda????? Ukiona kimekushinda waachie wanaoweza sio kulia lia.
 
malaya ndo ananunuliwa,sasa we unapopiga mizinga hata zaidi ya malaya kuna tofauti gani na malaya
 
Wengine friends tu lakini omba omba haishiii.mabadiliko yanaitajika.
 
Unafurahia ukiona amependeza afu anang'ara, unajisikia fahari mbele za rafiki zako kugharamia hutaki, ila kuvua pichu yake usiyojua gharama yake unapenda????? Ukiona kimekushinda waachie wanaoweza sio kulia lia.

mbona we mwenzako hakuombi hela lakini anapendeza? Kwani mpaka uwe ombaomba ndo upendeze?
 
Unafurahia ukiona amependeza afu anang'ara, unajisikia fahari mbele za rafiki zako kugharamia hutaki, ila kuvua pichu yake usiyojua gharama yake unapenda????? Ukiona kimekushinda waachie wanaoweza sio kulia lia.
kwani unapendeza kwa ajili ya nani?kama huwezi kujipendezesha basi baki mchafu,kwahiyo ukikosa wa kumpiga mizinga hujipendezeshi?
 
Back
Top Bottom