Tabia ya kuomba omba sio nzuri kwa wadada

Tabia ya kuomba omba sio nzuri kwa wadada

hii ni nipe nikupe - ni uhusiano usio na msingi ila ni wa maslahi. wewe boyfriend unataka kuinjoy urembo wake na mwili wa huyo mdada kabla hujamfata mdada mwengine na yeye akapata mwingine- na hivi vina gharama kuna hairdresser na mengineyo kwa hiyo lazima ulipe - solution funga ndoa na pisa yoyote utakayo tumia unajua unajenga kwako

Sasa jamaa umeona suluhisho ni kuoa? sasa anaeomba omba hela si ni huyo huyo utakae muweka ndani hapo haujafanya suluhisho bali uneongeza majukumu maaana ni jukumu la mume kumtunza mkewe in short hili ni tatizo kubwa sana yan...
 
Habari zenu marafiki, nimekuwa najiuliza hivi hii ni tabia, desturi,sheria au kujiendekeza tuu.

Utakuta mdada anafanya kazi na anapata mshahara mzuri lakini mdada huyo kutwa kuomba hela kwa boyfriend mara baby hela ya saloon, cjui nguo na mengineyo.

Utajiuliza huyu hela zake anafanyia ninI, akiamua kukupa mwenyewe its okay ila sio kila saa utasema unamdai?

Wadada tubadilike jamani kuomba omba sana utazoeleka hata siku ukipata shida ya serious mtu atashindwa kukusaidia coz ni kawaida yako.

Wengine sasa sio hata kwa boyfriend tuu yaani yeye asikuzoee kidogo tu kosa kesho yake ataomba hela.

Hii ni tabia mbaya jamani tubadilikeni hata siku ikitokea umeomba hela mtu anashangaa anajua kweli umebanwa coz sio kawaida yako

Ni hayo tuu🙂

Mimi kasema
 
Habari zenu marafiki, nimekuwa najiuliza hivi hii ni tabia, desturi,sheria au kujiendekeza tuu.

Utakuta mdada anafanya kazi na anapata mshahara mzuri lakini mdada huyo kutwa kuomba hela kwa boyfriend mara baby hela ya saloon, cjui nguo na mengineyo.

Utajiuliza huyu hela zake anafanyia ninI, akiamua kukupa mwenyewe its okay ila sio kila saa utasema unamdai?

Wadada tubadilike jamani kuomba omba sana utazoeleka hata siku ukipata shida ya serious mtu atashindwa kukusaidia coz ni kawaida yako.

Wengine sasa sio hata kwa boyfriend tuu yaani yeye asikuzoee kidogo tu kosa kesho yake ataomba hela.

Hii ni tabia mbaya jamani tubadilikeni hata siku ikitokea umeomba hela mtu anashangaa anajua kweli umebanwa coz sio kawaida yako

Ni hayo tuu🙂

Mimi nasema mwanaume kumtunza/kumgaramikia mwanamke Wako Ni
 
Habari zenu marafiki, nimekuwa najiuliza hivi hii ni tabia, desturi,sheria au kujiendekeza tuu.

Utakuta mdada anafanya kazi na anapata mshahara mzuri lakini mdada huyo kutwa kuomba hela kwa boyfriend mara baby hela ya saloon, cjui nguo na mengineyo.

Utajiuliza huyu hela zake anafanyia ninI, akiamua kukupa mwenyewe its okay ila sio kila saa utasema unamdai?

Wadada tubadilike jamani kuomba omba sana utazoeleka hata siku ukipata shida ya serious mtu atashindwa kukusaidia coz ni kawaida yako.

Wengine sasa sio hata kwa boyfriend tuu yaani yeye asikuzoee kidogo tu kosa kesho yake ataomba hela.

Hii ni tabia mbaya jamani tubadilikeni hata siku ikitokea umeomba hela mtu anashangaa anajua kweli umebanwa coz sio kawaida yako

Ni hayo tuu🙂

Mimi nasema mwanaume kumtunza/kumgaramikia mwanamke Wako tena uliyeridhika nae ni WAJIBu, basi kama ghali mpende asiye omba omba, wapo wengi!!!
 
thamani yako ni ipi hasa mpaka useme mpenda vya bure,we kujipendezesha ni wajibu wangu?

Kama upendi kuhudumia acha tu sio lazima...coz in real sense hata kama ukimuoa utamuhudumia tu...ila kama huna mpngo nae achana nae.
 
Ndio maana wengi hamuolewi coz, mwanamke wa kuweka Pesa mbele sio wa kuoa coz hajakupenda amependa hela.... hao na wa kupiga tu... kuolewa huolewi ng'ooo

Proffesor anasema ... fact mkuu .. nakupa tano ....
 
Back
Top Bottom