Michael Mtitu
JF-Expert Member
- Oct 6, 2012
- 693
- 512
Huwa wanapewa sana mizigo kwa sababu hawatoi siri.Most of them mkuu...
Umalaya wa kichini chini, yaani wengi wa habari...si anajua yy mpole watu hawashtukii
Chunguza wale wanaokamatwa na wake za watu, tabia zao kitaa kila mtu huwa anashangaa!
Siku mkija kusikia mnabaki midomo wazi kumbe mwenzenu anatafuna mwaka wa tatu.