Ujue tabia unazozieleza wewe zipo kwa watu tofauti tofauti hata kwa wasio wapole,si kwamba kila asiye mpole ukimuudhi lazima akwambie.Unaona sasa!???![]()
....yaan we ndo typical mkuu
![]()
![]()
Hivi Mimi nimekosea huniambii ( na binadamu huwa na tabia ya kurudia kitu,) ntarudia tena huniambii, hivi mi ntajuaje nakosea?
Sasa hiyo ndo tabia yenu mkuu, umeona ulivyosema akikosea humwambii na unamsamehe bila yeye kujua! Haaa haaa...huo sasa sio msamaha mkuu ni unahifadhi vinyongo, siku makosa yamekuwa mengi coz binadamu hafanyi kosa moja, ni mwendo wa multiple mistakes kwa kwenda mbele....sasa basi mlivyo nyie yakijaa kifuani unakumbushia kila kitu na kisasi juu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
....hatari sana!
umesahau moja watu wapole ni wazinifu sanaa
Dangerous people in the world,are those who SEE,OBSERVE AND KEEP SILENCE..
Mchana mwema
Naona kila sifa mbaya mnawatupia watu wapole sasa sijui hata mtu mpole sifa yake ni ipi?Na wachawi ni hao hao mkuu.....huoni wengi wa wachawi ni wanaongoza kwa ibada na kitaa ni wanakuwa hawana maskendo.. Wapole na wakimya kumbe behind the scene ni nuksi
Chini ya jua hakuna siri, wakifichuka kila mtu anahisi anaota!!!
Wee chunguza mara nyingi watu wa matukio ya kutisha kama huwaga ni waruwaru or wapole na wakimya?!
Haaa haaa ...it depends buanaaShida yenu mlio full huwa mnakung'uta kila kitu moyoni na kuhamishia kwa wengine![]()
![]()
![]()
Sifa yao ni wapole mkuu..Naona kila sifa mbaya mnawatupia watu wapole sasa sijui hata mtu mpole sifa yake ni ipi?

Najiona mwenyewe kwenye hii!!Kuna tofauti kubwa sana kati ya mtu Mpole, Mtaratibu na Mnyenyekevu.
Mtu anaweza kuwa mpole lakini si mtaratibu
Mtu anaweza kuwa mpole lakini hana unyenyekevu.
Mtu mpole ni yule asiye mkali na si Mgomvi.
Ila pia watu wengi wapole wana hekima, Uvumilivu na busara.
Kwa upande wa pili...watu wapole huwa wakireact kwa hasira ni wabaya sanaaa kuliko wale wanaojulikana kuwa ni Wakali.
Pia watu wapole wengi wao ndio wanaowafaidi sana wanawake na pia ndio wanaoongoza kuwa na watoto wa nje ya ndoa.
Tofautisha kati ya ugonjwa na upoleMfano mzuri wa mtu mpole ni Lowassa.
Peopless!!
Kibiblia, Mtu Mpole ni Yule mwenye saburi /Uvumilivu yaani hakurupuki ktk jambo lolote lile ,lkn Unyenyekevu m. y. ni ile hali ya kujikubali kuwa hujui jambo Fulani na kuwa tayari kusahihishwa na pia kutambua karama za wenzio na kuwa tayari kuwaruhusu wenzako kuonyesha karama zao. Kwa ufupi ni kujikubali kwa yale unayoyaweza na pia kwa yale usiyoyaweza kuruhusu wanaoweza wafanye /wakusahihishe.Tofauti ya upole na unyenyekevu ni nini?
Naombeni mniambie
Usijisifu, subiri wengine wakusifu.Sifa zangu hizo
Usijisifu, subiri wengine wakusifu.Sifa zangu hizo
Sana,Woow thanx I hope umefurahi sasa kuziona
ahhaahaa mie chiriku upole huo vipi tena ! teh ! naflow km waterfalls
