Tabia Nane za watu wapole

Tabia Nane za watu wapole

Hamna mkuu...napenda nikimkosea mtu aniambie hapo hapo niombe radhi mambo yaishe tusonge mbele ( sababu hakuna mkamilifu na naweza fanya kitu mi nikaona poa kumbe yy nimemkwaza mbaya)...sasa hawa watu hakwambii wala nini siku ya kurevenge ndo utajua balaa lake ...maisha gani sasa hayo!
Hapana,watu wapole ni kama watu wengine kwa maana nao hutofautiana tabia na si kwamba wote wapo hivyo hivyo hufanana.
 
Hizi ndio sifa za watu wakimya:
1. Sio wacheshi
2. Wana kiburi
3. Sio rahisi kukubali kosa alilo fanya
4. Ni watu waku jitenga
5. Hawapendi uguse vitu vyao
6. Ni wazuri kwa u spy / upepelezi
7. Ni watu waku jiweka local sana hata kama fedha ipo
8. Hawana muda sana wanawake.
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya mtu Mpole, Mtaratibu na Mnyenyekevu.

Mtu anaweza kuwa mpole lakini si mtaratibu

Mtu anaweza kuwa mpole lakini hana unyenyekevu.

Mtu mpole ni yule asiye mkali na si Mgomvi.

Ila pia watu wengi wapole wana hekima, Uvumilivu na busara.

Kwa upande wa pili...watu wapole huwa wakireact kwa hasira ni wabaya sanaaa kuliko wale wanaojulikana kuwa ni Wakali.

Pia watu wapole wengi wao ndio wanaowafaidi sana wanawake na pia ndio wanaoongoza kuwa na watoto wa nje ya ndoa.
mkuu umehit target
 
Nàogopa kuvuriga Uzi ningeweka na Tabia za madikteta.😀😀😀.
 
Mmmh hii baadhi sio wote..... kupenda chini haijalishi mpole..mapepe..chakaramu..mchangamfu..ni tabia tu ya mtu...
Most of them mkuu...

Umalaya wa kichini chini, yaani wengi wa habari...si anajua yy mpole watu hawashtukii

Chunguza wale wanaokamatwa na wake za watu, tabia zao kitaa kila mtu huwa anashangaa!
 
HAKUNA WATU WABAYA NA KUWAOGOPA KATIKA DUNIA HII KAMA WATU WAPOLE AISEEE.

HAWA WATU SIKU AKIJA KUKUBADILIKIA NDIO UTAMJUA NI MTU WA AINA GANI YAANI HAWA NI WATU WASHENZI SANA AISEEEE.

MIMI NILIKUWA NINA RAFIKI YANGU MPOLE SANA LAKINI MWISHO WA SIKU ALIKUJA KUNITAPELI HELA YANGU NA AKANIBADILIKIA KAMA SIO YEYE VILEEEE
 
Tena sifa yao kuu ni kufanana tabia!
Unajua watu ambao ukiwaudhi wanakwambia hapo hapo ni wachache na si kwamba et watu wote wacheshi wako hivyo bali ni tabia za baadhi ya watu.

Hivyo na watu wapole pia sio kwamba wote wapo hivyo unavyosema,mie mtu anaweza kuniudhi na nisimwambie na nikamsamehe kabisa bila hata yeye kujua.
 
Back
Top Bottom