Tabia Nane za watu wapole

Tabia Nane za watu wapole

kuna' baazi' ya majina ukimuta mwanaio tegemea atakuwa muongeaji !mie nahis nimeathiriwa na jina aisee ! sema kosa ukosee uolewe na mwanaume wanaeoongea naye uwiiiii kuta zinawaka moto haha km ndege msituni wanavyolia !teh teh

Mungu nae wa ajabu, mcharuko anapewa mpole ili kubalance mambo.
 
Watu wengi niliokuwa nafanya nao kazi walikiwa wananiona hvyo hd Mzee anakwambia ningetamani kuwa na mkwe wa hivi, wengine aisee bro Nina mdogo wangu wa kike niko radhi kabisa kukuunganishia, wengi walikuwa hawajui uchafu wangu wao wanaangalia tu hizo Tabia wanazoziona, watu wapole huwa wanaficha sana uchafu wao in reference to me.
Asante Bwai
 
HAKUNA WATU WABAYA NA KUWAOGOPA KATIKA DUNIA HII KAMA WATU WAPOLE AISEEE.

HAWA WATU SIKU AKIJA KUKUBADILIKIA NDIO UTAMJUA NI MTU WA AINA GANI YAANI HAWA NI WATU WASHENZI SANA AISEEEE.

MIMI NILIKUWA NINA RAFIKI YANGU MPOLE SANA LAKINI MWISHO WA SIKU ALIKUJA KUNITAPELI HELA YANGU NA AKANIBADILIKIA KAMA SIO YEYE VILEEEE
Mnakosea sana mnapoleta dharau kisa mpole,ukiniletea dharau lazima nikuonyeshe kutokubaliana na dharau zako.
 
Sifa yao ni wapole mkuu..
Hahaha sasa hapo huo upole ni upi maana kila sifa mbaya wanazo wao?

Mi naona ndiyo mnarudi kule kule niliposema mie kuwa kuna mkimya na mpole,mkimya anaweza kuwa na misifa yote hiyo ya ajabu ajabu ila ndiyo sio muongeaji sana kwa watu.

Watu wapole huwa tunasifa nzuri na ndiyo maana tukaitwa wapole...hehehe
 
Watu wengi niliokuwa nafanya nao kazi walikiwa wananiona hvyo hd Mzee anakwambia ningetamani kuwa na mkwe wa hivi, wengine aisee bro Nina mdogo wangu wa kike niko radhi kabisa kukuunganishia, wengi walikuwa hawajui uchafu wangu wao wanaangalia tu hizo Tabia wanazoziona, watu wapole huwa wanaficha sana uchafu wao in reference to me.
Kuwa mpole haikufanyi kuwa perfect kwamba wewe huna mapungufu kama binaadamu wengine.
 
Kweli, ila umesahau moja. Akiishiwa uvumilivu ni mbaya kuliko simba na si wepesi kusamehe.
Hili naunga mkono!
Akishasema imetosha huwa ni vigumu sana kusamehe na anaweza kufanya kitendo cha kinyama mpaka dunia isiamini au akafanya kimya kimya akabaki na siri yake mpaka anakwenda kaburini!
Usitumie upole wa mtu kumnyanyasa siku akichoka utajutia kujuana naye!
 
HAKUNA WATU WABAYA NA KUWAOGOPA KATIKA DUNIA HII KAMA WATU WAPOLE AISEEE.

HAWA WATU SIKU AKIJA KUKUBADILIKIA NDIO UTAMJUA NI MTU WA AINA GANI YAANI HAWA NI WATU WASHENZI SANA AISEEEE.

MIMI NILIKUWA NINA RAFIKI YANGU MPOLE SANA LAKINI MWISHO WA SIKU ALIKUJA KUNITAPELI HELA YANGU NA AKANIBADILIKIA KAMA SIO YEYE VILEEEE
Huyo rafiki yako alikua sio mpole ila ni mkimya
 
Tabia nane za watu wa pole.
1. Wanafikiri sana kabla ya kutenda, sio wakurupukaji
2. Ni rahisi kuwaamini
3. Wako tayari kutoa msaada.
4. Ni wazuri kuwa nao kama marafiki
5. Ni wasikilizaji wazuri
6. Wanazielewa hisia za wengine
7. Wanaweza kudumisha mahusiano yao na wengine na ni rahisi kukaa kwenye uhusiano kwa muda mrefu
8. Ni wagunduzi.

9. Ni wapigaji Punyeto wazuri sana tu tena kimya kimya kama walivyo wakimya.
 
Back
Top Bottom