Wgr30
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 1,770
- 2,387
haha haha!!! hapo umenigusa mkuu!!Pia watu wapole wengi wao ndio wanaowafaidi sana wanawake na pia ndio wanaoongoza kuwa na watoto wa nje ya ndoa.
haha haha!!! hapo umenigusa mkuu!!Pia watu wapole wengi wao ndio wanaowafaidi sana wanawake na pia ndio wanaoongoza kuwa na watoto wa nje ya ndoa.
We utakuwa MAPEPE tu.
Mkuu mtu mpole anaweza kuwa ameepusha shari nyingi kwa sababu ya upole wake,ila siku moja hata akiongea kwa ukali basi watu husema watu wapole ni hatari yani hawafikirii yale uliyokuwa ukiepusha wao hukumbuka hilo tukio moja tu.watu wapole bwana ni hatari sana sitaki nijisemee lakini naona mtoa maada kama kaniumbua hivi!!!
kwa kweli mimi ni mkimya/mpole sio mkimya kutokuongea hapana naongea panapobidi.
Naweza nikakaa na kitu moyoni kibaya ulichonitendea zaidi ya mwaka na usijue.
Naweza nikacheka na wewe lakini huwezi jua kilicho moyoni mwangu juu yako kibaya/kizuri
sijawahi kukasirika, unaweza kunitukana kabisa matusi ya nguoni lakini nikapuuza na kuondoka nikiwa nacheka
Nikiwa nashida sio mwepesi wa kuitangaza mpaka nipigane mwenyewe nione mwisho wake.
sio mwepesi wa kusamehe kwa kweli.
Napenda sana kusaidia(niliwahi kukutana na mama stend nikiwa na mambo yangu alikuwa safari sehemu akawa ameishiwa nauli na sehemu anayoenda bado alikuwa hajafika nilikuwa na 10000tsh tu mfukoni nilimpa ile hela yote).
ni mengi sana.
kweli mkuu!!Mkuu mtu mpole anaweza kuwa ameepusha shari nyingi kwa sababu ya upole wake,ila siku moja hata akiongea kwa ukali basi watu husema watu wapole ni hatari yani hawafikirii yale uliyokuwa ukiepusha wao hukumbuka hilo tukio moja tu.
Tusamehe bure....Tupe nafasi nyingine na ikiwezekana iwe ya mwisho hakika hatutakufanya ujute tena..mara kwanza tulipitiwa tu.Sasa ngoja nikueleweshe kitu kimoja ukielewe...
Ukimya na upole ni vitu tofauti but almost vinaenda sambamba
Mtu mpole mara nyingi anakuwa mkimya, huwezi kuta mtu mpole hapohapo akawa muongeaji ni very rare sana
Sasa kwangu mimi kivyovyote vile ukiwa mpole or mkimya sikupendi, coz nina experience ni watu washenzi sana ktk hii dunia!
Aisee nimeshindwa kukudefineHalafu watu wapole/ wakimya nyuma ya keyboard wana maandishi mengi kama nini!
Inakuwa hamna namna mkuu, maana unakuwa umepotezea mengi. Mwisho wa siku, unasema sasa basi.Kweli, ila umesahau moja. Akiishiwa uvumilivu ni mbaya kuliko simba na si wepesi kusamehe.
Sasa ngoja nikueleweshe kitu kimoja ukielewe...
Ukimya na upole ni vitu tofauti but almost vinaenda sambamba
Mtu mpole mara nyingi anakuwa mkimya, huwezi kuta mtu mpole hapohapo akawa muongeaji ni very rare sana
Sasa kwangu mimi kivyovyote vile ukiwa mpole or mkimya sikupendi, coz nina experience ni watu washenzi sana ktk hii dunia!
Vipi hukumlaHAKUNA WATU WABAYA NA KUWAOGOPA KATIKA DUNIA HII KAMA WATU WAPOLE AISEEE.
HAWA WATU SIKU AKIJA KUKUBADILIKIA NDIO UTAMJUA NI MTU WA AINA GANI YAANI HAWA NI WATU WASHENZI SANA AISEEEE.
MIMI NILIKUWA NINA RAFIKI YANGU MPOLE SANA LAKINI MWISHO WA SIKU ALIKUJA KUNITAPELI HELA YANGU NA AKANIBADILIKIA KAMA SIO YEYE VILEEEE
Silent killerJk yupo ktk hii list msimsahau
🏃🏃🏃🏃🏃Kuna tofauti kubwa sana kati ya mtu Mpole, Mtaratibu na Mnyenyekevu.
Mtu anaweza kuwa mpole lakini si mtaratibu
Mtu anaweza kuwa mpole lakini hana unyenyekevu.
Mtu mpole ni yule asiye mkali na si Mgomvi.
Ila pia watu wengi wapole wana hekima, Uvumilivu na busara.
Kwa upande wa pili...watu wapole huwa wakireact kwa hasira ni wabaya sanaaa kuliko wale wanaojulikana kuwa ni Wakali.
Pia watu wapole wengi wao ndio wanaowafaidi sana wanawake na pia ndio wanaoongoza kuwa na watoto wa nje ya ndoa.
Dada wity. Na tako lake 😍😍😍😍Mi binafsi sipendi mume /rafiki au mtu yeyote anayehusika na Mimi awe mpole!
Ni aina ya binadamu wanafiki mnoo na anaweza hata kukupoteza ktk huu uso wa dunia na usiamini
Mi napenda watu mapepe/ micharuko maana ni rahisi kumgundua nyanja zote
Kumbe Unyenyekevu unaendana shida, kumbe wanaposema fulani mnyenyekevu, kwa sababu vinaendana ni kama wanasifu shida zake.Upole ni mtaratibu
Unyenyekevu ni kunyenyekea pale umepata shida na mtu akakusaidia hio shida yako
Hapo unatakiwa umnyenyekee pindi unapohitaji msaada
Ajuna ?Daah...umenikumbusha ajuna wangu..