kinyamkela mahaba
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 1,180
- 1,599
Gentamycine hujawahi kujichua?!9. Ni wapigaji Punyeto wazuri sana tu tena kimya kimya kama walivyo wakimya.
Gentamycine hujawahi kujichua?!9. Ni wapigaji Punyeto wazuri sana tu tena kimya kimya kama walivyo wakimya.
Babaako kawahi?Gentamycine hujawahi kujichua?!
Hizi ndio sifa za watu wakimya:
1. Sio wacheshi
2. Wana kiburi
3. Sio rahisi kukubali kosa alilo fanya
4. Ni watu waku jitenga
5. Hawapendi uguse vitu vyao
6. Ni wazuri kwa u spy / upepelezi
7. Ni watu waku jiweka local sana hata kama fedha ipo
8. Hawana muda sana wanawake.
Ajuna ?
Alikujuna kwenye nini mpaka ukamkumbuka .?
Sawa mtafute na wewe umjune kwenye magumu ya duniaMengi,itoshe kusema hivyo
Ni watu makini ndio maana ametapeli falaHAKUNA WATU WABAYA NA KUWAOGOPA KATIKA DUNIA HII KAMA WATU WAPOLE AISEEE.
HAWA WATU SIKU AKIJA KUKUBADILIKIA NDIO UTAMJUA NI MTU WA AINA GANI YAANI HAWA NI WATU WASHENZI SANA AISEEEE.
MIMI NILIKUWA NINA RAFIKI YANGU MPOLE SANA LAKINI MWISHO WA SIKU ALIKUJA KUNITAPELI HELA YANGU NA AKANIBADILIKIA KAMA SIO YEYE VILEEEE
Sana tu Mkuu..... Nawajua ...ukishika smartphone yake ingia kwenye Chrome type ... www. Afu yenyewe itamalizia www.xvideo.com![]()
wahanga wa mafuriko ya Selfie






HahahaWatu wapole washenzi sana. Wanakutafuna huku hujitambui unakuja kushtukia ushakwisha.
HahahaHAKUNA WATU WABAYA NA KUWAOGOPA KATIKA DUNIA HII KAMA WATU WAPOLE AISEEE.
HAWA WATU SIKU AKIJA KUKUBADILIKIA NDIO UTAMJUA NI MTU WA AINA GANI YAANI HAWA NI WATU WASHENZI SANA AISEEEE.
MIMI NILIKUWA NINA RAFIKI YANGU MPOLE SANA LAKINI MWISHO WA SIKU ALIKUJA KUNITAPELI HELA YANGU NA AKANIBADILIKIA KAMA SIO YEYE VILEEEE
Mimi mtupu.Tabia nane za watu wa pole.
1. Wanafikiri sana kabla ya kutenda, sio wakurupukaji
2. Ni rahisi kuwaamini
3. Wako tayari kutoa msaada.
4. Ni wazuri kuwa nao kama marafiki
5. Ni wasikilizaji wazuri
6. Wanazielewa hisia za wengine
7. Wanaweza kudumisha mahusiano yao na wengine na ni rahisi kukaa kwenye uhusiano kwa muda mrefu
8. Ni wagunduzi.
Unyenyekevu ni uchawa upole ni tabiaTofauti ya upole na unyenyekevu ni nini?
Naombeni mniambie