Tabia Nane za watu wapole

Tabia Nane za watu wapole

Huyu ni Mimi kabisa.
Hizi ndio sifa za watu wakimya:
1. Sio wacheshi
2. Wana kiburi
3. Sio rahisi kukubali kosa alilo fanya
4. Ni watu waku jitenga
5. Hawapendi uguse vitu vyao
6. Ni wazuri kwa u spy / upepelezi
7. Ni watu waku jiweka local sana hata kama fedha ipo
8. Hawana muda sana wanawake.
 
HAKUNA WATU WABAYA NA KUWAOGOPA KATIKA DUNIA HII KAMA WATU WAPOLE AISEEE.

HAWA WATU SIKU AKIJA KUKUBADILIKIA NDIO UTAMJUA NI MTU WA AINA GANI YAANI HAWA NI WATU WASHENZI SANA AISEEEE.

MIMI NILIKUWA NINA RAFIKI YANGU MPOLE SANA LAKINI MWISHO WA SIKU ALIKUJA KUNITAPELI HELA YANGU NA AKANIBADILIKIA KAMA SIO YEYE VILEEEE
Ni watu makini ndio maana ametapeli fala
 
Wengi mnashindwa kutofautisha kati ya mtu mpole zidi ya mtu mkimya.

Ndio maana wengi wameishia kupigwa matukio na disappointments.
 
HAKUNA WATU WABAYA NA KUWAOGOPA KATIKA DUNIA HII KAMA WATU WAPOLE AISEEE.

HAWA WATU SIKU AKIJA KUKUBADILIKIA NDIO UTAMJUA NI MTU WA AINA GANI YAANI HAWA NI WATU WASHENZI SANA AISEEEE.

MIMI NILIKUWA NINA RAFIKI YANGU MPOLE SANA LAKINI MWISHO WA SIKU ALIKUJA KUNITAPELI HELA YANGU NA AKANIBADILIKIA KAMA SIO YEYE VILEEEE
Hahaha
 
Tabia nane za watu wa pole.
1. Wanafikiri sana kabla ya kutenda, sio wakurupukaji
2. Ni rahisi kuwaamini
3. Wako tayari kutoa msaada.
4. Ni wazuri kuwa nao kama marafiki
5. Ni wasikilizaji wazuri
6. Wanazielewa hisia za wengine
7. Wanaweza kudumisha mahusiano yao na wengine na ni rahisi kukaa kwenye uhusiano kwa muda mrefu
8. Ni wagunduzi.
Mimi mtupu.
Mimi sura yangu TU ukiniangalia unajua TU ni mpole.

Nilikua nauwezo nikimwangalia mtu ananihurumia.... mfano shuleni nilikua nikikosea watu wanaweza chapwa Mimi nikaomba msamaha nikasamehewa.

At least sikuizi upole umepungua pungua.
 
Watu wanawachulia powa,hawajui maji yaliyotuama ndiyo huzamisha jahazi.
 
Watu wapole pia tunaathiriwa na hali za wengine tinapowaona wana maisha yenye changamoto tunaumia sana.
 
Back
Top Bottom