Hawezi kukubadilikia bila sababu, ulivoelezea ni km awali wewe ulimhesabu km ni boya na inaelekea ulimburuza mahali ndo maana alikugeuka ili ajiokoe. Mjusi ukimfukuza saaana anageuka kuwa nyoka.HAKUNA WATU WABAYA NA KUWAOGOPA KATIKA DUNIA HII KAMA WATU WAPOLE AISEEE.
HAWA WATU SIKU AKIJA KUKUBADILIKIA NDIO UTAMJUA NI MTU WA AINA GANI YAANI HAWA NI WATU WASHENZI SANA AISEEEE.
MIMI NILIKUWA NINA RAFIKI YANGU MPOLE SANA LAKINI MWISHO WA SIKU ALIKUJA KUNITAPELI HELA YANGU NA AKANIBADILIKIA KAMA SIO YEYE VILEEEE
hiyo namba 2 na yenyewe ni tabia??Tabia nane za watu wa pole.
1. Wanafikiri sana kabla ya kutenda, sio wakurupukaji
2. Ni rahisi kuwaamini
3. Wako tayari kutoa msaada.
4. Ni wazuri kuwa nao kama marafiki
5. Ni wasikilizaji wazuri
6. Wanazielewa hisia za wengine
7. Wanaweza kudumisha mahusiano yao na wengine na ni rahisi kukaa kwenye uhusiano kwa muda mrefu
8. Ni wagunduzi.
Na mimi Nilitaka niulize ili.Tofauti ya mpole na mkimya ni nini?
Atakulipa tu huyo vumiliaHAKUNA WATU WABAYA NA KUWAOGOPA KATIKA DUNIA HII KAMA WATU WAPOLE AISEEE.
HAWA WATU SIKU AKIJA KUKUBADILIKIA NDIO UTAMJUA NI MTU WA AINA GANI YAANI HAWA NI WATU WASHENZI SANA AISEEEE.
MIMI NILIKUWA NINA RAFIKI YANGU MPOLE SANA LAKINI MWISHO WA SIKU ALIKUJA KUNITAPELI HELA YANGU NA AKANIBADILIKIA KAMA SIO YEYE VILEEEE
Tabia nane za watu wa pole.
1. Wanafikiri sana kabla ya kutenda, sio wakurupukaji
2. Ni rahisi kuwaamini
3. Wako tayari kutoa msaada.
4. Ni wazuri kuwa nao kama marafiki
5. Ni wasikilizaji wazuri
6. Wanazielewa hisia za wengine
7. Wanaweza kudumisha mahusiano yao na wengine na ni rahisi kukaa kwenye uhusiano kwa muda mrefu
8. Ni wagunduzi.
Alikuwa mpole au mkimya?HAKUNA WATU WABAYA NA KUWAOGOPA KATIKA DUNIA HII KAMA WATU WAPOLE AISEEE.
HAWA WATU SIKU AKIJA KUKUBADILIKIA NDIO UTAMJUA NI MTU WA AINA GANI YAANI HAWA NI WATU WASHENZI SANA AISEEEE.
MIMI NILIKUWA NINA RAFIKI YANGU MPOLE SANA LAKINI MWISHO WA SIKU ALIKUJA KUNITAPELI HELA YANGU NA AKANIBADILIKIA KAMA SIO YEYE VILEEEE
Hizi ndio sifa za watu wakimya:Ila ujasema za upande wa pili,...
Nyie mnachanganya upole na ukimya,mkiona mtu sio muongeaji sana basi mnamwita mpole kumbe hana sifa za upole.Mi binafsi sipendi mume /rafiki au mtu yeyote anayehusika na Mimi awe mpole!
Ni aina ya binadamu wanafiki mnoo na anaweza hata kukupoteza ktk huu uso wa dunia na usiamini
Mi napenda watu mapepe/ micharuko maana ni rahisi kumgundua nyanja zote
Ebwanae upo vizuri sana mkuu,Tabia nane za watu wa pole.
1. Wanafikiri sana kabla ya kutenda, sio wakurupukaji
2. Ni rahisi kuwaamini
3. Wako tayari kutoa msaada.
4. Ni wazuri kuwa nao kama marafiki
5. Ni wasikilizaji wazuri
6. Wanazielewa hisia za wengine
7. Wanaweza kudumisha mahusiano yao na wengine na ni rahisi kukaa kwenye uhusiano kwa muda mrefu
8. Ni wagunduzi.
Unataka jamaa wampeme mkojo...?Ila ujasema za upande wa pili,...
Watu wanachanganya sana mkuu.Tofauti ya mpole na mkimya ni nini?
Sasa ngoja nikueleweshe kitu kimoja ukielewe...Nyie mnachanganya upole na ukimya,mkiona mtu sio muongeaji sana basi mnamwita mpole kumbe hana sifa za upole.
Mfano mie natambulika kwa upole ila wengine wanakataa kuwa mie sio mpole kisa tu naongea sana nikiwa na watu ninaofahamiana nao na sio mkimya mkimya.