Tabia Nane za watu wapole

Tabia Nane za watu wapole

Mi binafsi sipendi mume /rafiki au mtu yeyote anayehusika na Mimi awe mpole!

Ni aina ya binadamu wanafiki mnoo na anaweza hata kukupoteza ktk huu uso wa dunia na usiamini

Mi napenda watu mapepe/ micharuko maana ni rahisi kumgundua nyanja zote
 
HAKUNA WATU WABAYA NA KUWAOGOPA KATIKA DUNIA HII KAMA WATU WAPOLE AISEEE.

HAWA WATU SIKU AKIJA KUKUBADILIKIA NDIO UTAMJUA NI MTU WA AINA GANI YAANI HAWA NI WATU WASHENZI SANA AISEEEE.

MIMI NILIKUWA NINA RAFIKI YANGU MPOLE SANA LAKINI MWISHO WA SIKU ALIKUJA KUNITAPELI HELA YANGU NA AKANIBADILIKIA KAMA SIO YEYE VILEEEE
Hawezi kukubadilikia bila sababu, ulivoelezea ni km awali wewe ulimhesabu km ni boya na inaelekea ulimburuza mahali ndo maana alikugeuka ili ajiokoe. Mjusi ukimfukuza saaana anageuka kuwa nyoka.
 
Tabia nane za watu wa pole.
1. Wanafikiri sana kabla ya kutenda, sio wakurupukaji
2. Ni rahisi kuwaamini
3. Wako tayari kutoa msaada.
4. Ni wazuri kuwa nao kama marafiki
5. Ni wasikilizaji wazuri
6. Wanazielewa hisia za wengine
7. Wanaweza kudumisha mahusiano yao na wengine na ni rahisi kukaa kwenye uhusiano kwa muda mrefu
8. Ni wagunduzi.
hiyo namba 2 na yenyewe ni tabia??
 
HAKUNA WATU WABAYA NA KUWAOGOPA KATIKA DUNIA HII KAMA WATU WAPOLE AISEEE.

HAWA WATU SIKU AKIJA KUKUBADILIKIA NDIO UTAMJUA NI MTU WA AINA GANI YAANI HAWA NI WATU WASHENZI SANA AISEEEE.

MIMI NILIKUWA NINA RAFIKI YANGU MPOLE SANA LAKINI MWISHO WA SIKU ALIKUJA KUNITAPELI HELA YANGU NA AKANIBADILIKIA KAMA SIO YEYE VILEEEE
Atakulipa tu huyo vumilia
 
Tabia nane za watu wa pole.
1. Wanafikiri sana kabla ya kutenda, sio wakurupukaji
2. Ni rahisi kuwaamini
3. Wako tayari kutoa msaada.
4. Ni wazuri kuwa nao kama marafiki
5. Ni wasikilizaji wazuri
6. Wanazielewa hisia za wengine
7. Wanaweza kudumisha mahusiano yao na wengine na ni rahisi kukaa kwenye uhusiano kwa muda mrefu
8. Ni wagunduzi.

mfano mzuri ni Prof Mwandosya
 
HAKUNA WATU WABAYA NA KUWAOGOPA KATIKA DUNIA HII KAMA WATU WAPOLE AISEEE.

HAWA WATU SIKU AKIJA KUKUBADILIKIA NDIO UTAMJUA NI MTU WA AINA GANI YAANI HAWA NI WATU WASHENZI SANA AISEEEE.

MIMI NILIKUWA NINA RAFIKI YANGU MPOLE SANA LAKINI MWISHO WA SIKU ALIKUJA KUNITAPELI HELA YANGU NA AKANIBADILIKIA KAMA SIO YEYE VILEEEE
Alikuwa mpole au mkimya?
 
Ila ujasema za upande wa pili,...
Hizi ndio sifa za watu wakimya:
1. Sio wacheshi
2. Wana kiburi
3. Sio rahisi kukubali kosa alilo fanya
4. Ni watu waku jitenga
5. Hawapendi uguse vitu vyao
6. Ni wazuri kwa u spy / upepelezi
7. Ni watu waku jiweka local sana hata kama fedha ipo
8. Hawana muda sana wanawake.
 
Mi binafsi sipendi mume /rafiki au mtu yeyote anayehusika na Mimi awe mpole!

Ni aina ya binadamu wanafiki mnoo na anaweza hata kukupoteza ktk huu uso wa dunia na usiamini

Mi napenda watu mapepe/ micharuko maana ni rahisi kumgundua nyanja zote
Nyie mnachanganya upole na ukimya,mkiona mtu sio muongeaji sana basi mnamwita mpole kumbe hana sifa za upole.

Mfano mie natambulika kwa upole ila wengine wanakataa kuwa mie sio mpole kisa tu naongea sana nikiwa na watu ninaofahamiana nao na sio mkimya mkimya.
 
Tabia nane za watu wa pole.
1. Wanafikiri sana kabla ya kutenda, sio wakurupukaji
2. Ni rahisi kuwaamini
3. Wako tayari kutoa msaada.
4. Ni wazuri kuwa nao kama marafiki
5. Ni wasikilizaji wazuri
6. Wanazielewa hisia za wengine
7. Wanaweza kudumisha mahusiano yao na wengine na ni rahisi kukaa kwenye uhusiano kwa muda mrefu
8. Ni wagunduzi.
Ebwanae upo vizuri sana mkuu,

Yani hapo umemwaga upupu kwelikweli maana kwa data zote hizo umeuona ukalimu wangu jinsi ulivyo.

Big up ...
 
ukimya una faida kama kupata nafasi ya kutafakari mambo yako bila bughuza,kuepuka kugombana na watu,lakin pia inaepusha watu kukujua undani wako so hauwapi nafasi ya kuku jua but hasara kubwa ni pamoja na kukosa marafiki kwa wakati,watu kukuona lof.a,watu kukuona ant-social,kuna hatari ya kufanya maamuz magumu na ya kutisha ambayo yanweza kukuletea shida maishani.
 
Nyie mnachanganya upole na ukimya,mkiona mtu sio muongeaji sana basi mnamwita mpole kumbe hana sifa za upole.

Mfano mie natambulika kwa upole ila wengine wanakataa kuwa mie sio mpole kisa tu naongea sana nikiwa na watu ninaofahamiana nao na sio mkimya mkimya.
Sasa ngoja nikueleweshe kitu kimoja ukielewe...

Ukimya na upole ni vitu tofauti but almost vinaenda sambamba

Mtu mpole mara nyingi anakuwa mkimya, huwezi kuta mtu mpole hapohapo akawa muongeaji ni very rare sana

Sasa kwangu mimi kivyovyote vile ukiwa mpole or mkimya sikupendi, coz nina experience ni watu washenzi sana ktk hii dunia!
 
Back
Top Bottom