Tabia na sifa za Paka ni za kushangaza

Tabia na sifa za Paka ni za kushangaza

Papa Mopao

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2009
Posts
4,157
Reaction score
2,663
Hawa paka ni waajabu sana, kuna vitu vingine ukijiuliza hupati jibu kabisa

Kwa mfano;
Maiti zao zinapotelea wapi?

Kingine wanapofanya mapenzi, kiuhalisia huwezi kuwaona wakifanya mapenzi hadharani, wanyama wengine kama mbwa, mbuzi, ng'ombe na wengineo angalau wengi wetu tumebahatika kushuhudia, ila kwa paka ni nadra sana.

Paka dume akimwaga mayai ukeni mwa paka jike, jike anagaragaza kabisa utafikiri kamwagiwa maji ya moto sehemu za siri huku akipiga kelele haieleweki kama anapata maumivu au la, hawa ndo paka ajabu sana.

Mimi huwa sipati picha kuhusu hawa paka, akijisaidia anafukia, wastaarabu sana

Najua wengine watashare vingi hapa...

Karibuni sana...
 
mimi nishawahi kuona wakigegedana more than one time tena mchana,ingawa nakili kuwa kweli paka ni mnyama mstaarabu ukilinganisha na wanyama wengine wanaofugwa na binadamu,mfano ukiwa umefuga paka na mbwa nyumbani kwako,paka nae huwa anajifanya kama binadamu mbele ya mbwa,yaani anamwona mbwa ni mbwa!
 
mimi nishawahi kuona wakigegedana more than one time tena mchana,ingawa nakili kuwa kweli paka ni mnyama mstaarabu ukilinganisha na wanyama wengine wanaofugwa na binadamu,mfano ukiwa umefuga paka na mbwa nyumbani kwako,paka nae huwa anajifanya kama binadamu mbele ya mbwa,yaani anamwona mbwa ni mbwa!
xRHgYTp.gif
 
Paka ni wanafki, wanajifanya wasafi tuu Ila hamna kitu hizi ni sifa zao mibovu ambazo wana tumia akili nyingi kuzificha

Paka anakunya hata kwenye unga, haya mavi utaya ona Ila mkojo je?
Paka unaweza ukawa Humpendi Ila usimuoneshe kama humpendi eti yeye kishajua, akikuona tu nduki
Paka ukiwa mwingi wa mambo mfano una tembea na vi power bank( hirizi) mwenzie ashakuchora muda tu
Paka wanafanya sana mavituz, wanapenda sehemu zilizotulia nishawafuma Mara tano, kidume kinamwaga mauno zaidi ya mada maugo
Paka bwana wanatabia ya kupiga chabo....unaweza ukawa bafuni au toilet unashika adabu zako paka akawa katulia tuu juu ya ukuta anakuchora.
Unaweza kununua subwoofer asione mtu zaidi ya PAKA Ila utashangaa jirani anajua
 
Paka bana, anauwezo wa kusikia kishindo cha ugali kikitua tumboni hata umbali wa mita 100,.
paka huyu huyu paka anauwezo wa kujua huyu anakula mishikaki na akaenda kwa anayekula nyama choma au kitimoto, kwani kule ataambulia chochote.
 
mimi nishawahi kuona wakigegedana more than one time tena mchana,ingawa nakili kuwa kweli paka ni mnyama mstaarabu ukilinganisha na wanyama wengine wanaofugwa na binadamu,mfano ukiwa umefuga paka na mbwa nyumbani kwako,paka nae huwa anajifanya kama binadamu mbele ya mbwa,yaani anamwona mbwa ni mbwa!
Dah! Nimeipenda hiyo yaani paka anamwona mbwa kuwa ni mbwa?
 
Hawa paka ni waajabu sana, kuna vitu vingine ukijiuliza hupati jibu kabisa

Kwa mfano;
Maiti zao zinapotelea wapi?

Kingine wanapofanya mapenzi, kiuhalisia huwezi kuwaona wakifanya mapenzi hadharani, wanyama wengine kama mbwa, mbuzi, ng'ombe na wengineo angalau wengi wetu tumebahatika kushuhudia, ila kwa paka ni nadra sana.

Paka dume akimwaga mayai ukeni mwa paka jike, jike anagaragaza kabisa utafikiri kamwagiwa maji ya moto sehemu za siri huku akipiga kelele haieleweki kama anapata maumivu au la, hawa ndo paka ajabu sana.

Mimi huwa sipati picha kuhusu hawa paka, akijisaidia anafukia, wastaarabu sana

Najua wengine watashare vingi hapa...

Karibuni sana...
kuna hawa paka shume na wanaume wao hawana vyeti nao wana sifa za ajabu kabisa mkuu
 
Back
Top Bottom