Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,157
- 2,663
Hawa paka ni waajabu sana, kuna vitu vingine ukijiuliza hupati jibu kabisa
Kwa mfano;
Maiti zao zinapotelea wapi?
Kingine wanapofanya mapenzi, kiuhalisia huwezi kuwaona wakifanya mapenzi hadharani, wanyama wengine kama mbwa, mbuzi, ng'ombe na wengineo angalau wengi wetu tumebahatika kushuhudia, ila kwa paka ni nadra sana.
Paka dume akimwaga mayai ukeni mwa paka jike, jike anagaragaza kabisa utafikiri kamwagiwa maji ya moto sehemu za siri huku akipiga kelele haieleweki kama anapata maumivu au la, hawa ndo paka ajabu sana.
Mimi huwa sipati picha kuhusu hawa paka, akijisaidia anafukia, wastaarabu sana
Najua wengine watashare vingi hapa...
Karibuni sana...
Kwa mfano;
Maiti zao zinapotelea wapi?
Kingine wanapofanya mapenzi, kiuhalisia huwezi kuwaona wakifanya mapenzi hadharani, wanyama wengine kama mbwa, mbuzi, ng'ombe na wengineo angalau wengi wetu tumebahatika kushuhudia, ila kwa paka ni nadra sana.
Paka dume akimwaga mayai ukeni mwa paka jike, jike anagaragaza kabisa utafikiri kamwagiwa maji ya moto sehemu za siri huku akipiga kelele haieleweki kama anapata maumivu au la, hawa ndo paka ajabu sana.
Mimi huwa sipati picha kuhusu hawa paka, akijisaidia anafukia, wastaarabu sana
Najua wengine watashare vingi hapa...
Karibuni sana...