Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,030
- 59,683
Ha hahina mwenyewe
Ha hahina mwenyewe
Hahahaahaaahaaaakuvuta sigara barabarani na kupulizia watu moshi kama treni la mwakyembe mnaudhi
Hivi akisema ukweli ameoa utamkubalia???Namba 4 ni janga kwakweli, unakutana na mtu kwakumuangalia tuu muonekano wa nje unamuona alivyochoshwa na stress za ndoa yake alafu bila aibu anakwambia sijaoa [emoji26][emoji26][emoji26]
Wanaume wenye tabia hii Mungu anawaona na mtahukumiwa vibaya embu acheni uongo [emoji57]
Sio kweli kwamba ni kukurupuka kuoa.walikurupuka kuoa ndo maana wakajikuta wameoa majuto matupu
Huyo utakuta ni mwanamke ambae tayari ameshatumika vzr tu mpk ametia adabu ya maishaNa unajua kuna watu hawataki watu ambao hawajaoa?Ukweli ukiusema unakubaliwa tu wanakosea kudanganya,me nkiwa na mke huwa nasema!
Naam, mpunga upo, ila ndizinjoonayo Sheikh.Usije kupaaliwa.
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]siyatingishagi kwa kua sina makubwa!
dunia siri
Siwezi kumkubali aiseehHivi akisema ukweli ameoa utamkubalia???
Hahahaa sina maana mbayaa ila nafikiria tuu kwa sauti.
Rafiki Mimi huwa nakojoa kwenye papuchi tu basi![emoji53][emoji53][emoji53]kwa nini nje au ukutani?
sio vizuri
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Rafiki Mimi huwa nakojoa kwenye papuchi tu basi![emoji53][emoji53][emoji53]
Sent from my Armor using JamiiForums mobile app
Ndio maana watu wanajipinda kusema uongo kila uchwaoSiwezi kumkubali aiseeh
Naajitahid nisiujue ukweli, maana nikiujua ukweli atajuta alichokifanya [emoji57][emoji57]Ndio maana watu wanajipinda kusema uongo kila uchwao