Tabia mbaya za wanaume zisizopendeza

Tabia mbaya za wanaume zisizopendeza

Raynavero

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2014
Posts
38,380
Reaction score
56,094
Habari wapendwa MMU

Kuna tabia ambazo mtoto wa kiume akiwa akiwa nazo zinatia mashaka kama ni mwanaume anaejielewa

1.Kuvaa suruali chini ya makalio wanaume wanaovaa suruali mtindo wanakera mno kwa kweli
Mwingine anavaa suruali vbaya mpaka nguo ya ndani inaonekana halafu ndo chaafu,nyeusi tii au makalio yanaoneka loohh.Hebu mjirekebishe tafadhali

2.Kujisaidia haja ndogo njiani,yaani nikikuta mwanaume anatoa ududu wake halafu anaugandamiza ukuta wa mwenzie anauharibu kwa kweli nakudharau sana...Hivi unashindwa hata kuomba sehemu ujihifadhi kidogo haja zako?Mimi nikikukuta unafanya hivyoo njiani sikwepeshi jicho aisee...utajua mwenyewee!!

3.Kumdhalilisha binti akikukataa hii tabia wanayo wanaume wengi akikukataa baada ya kumtongoza unamuekea kisasi unamsubiria aingie kwenye 18 zake umtukanee mpaka makaburi ya kwao au unampiga mradi tu yaani umdhalilishe kwa kua amekukataa.
Au mmeachana unaenda kumsagia kijiweni na kutoa siri zotee...loooh

4.Kudanganya kua hamjaoa kumbe una mke na watoto watano lllloohh vibaya...hvyo baba mtu mzima au mkaka kudanya hujaoa ili tu utimize haja zako za mwili

Yaani mwanaume anajifanya nasafiri kumbe yuko nyumbani kwa mkewe.Hv kama wampenda kweli mkeo unamziniaje sasa kama sio unafiki wa kiwango cha standard gauge...

Yapo mengi mengine wataongezea wadau...
 
Habari wapendwa MMU

Kuna tabia ambazo mtoto wa kiume akiwa akiwa nazo zinatia mashaka kama ni mwanaume anaejielewa

1.Kuvaa suruali chini ya makalio wanaume wanaovaa suruali mtindo wanakera mno kwa kweli
Mwingine anavaa suruali vbaya mpaka nguo ya ndani inaonekana halafu ndo chaafu,nyeusi tii au makalio yanaoneka loohh.Hebu mjirekebishe tafadhali

2.Kujisaidia haja ndogo njiani,yaani nikikuta mwanaume anatoa ududu wake halafu anaugandamiza ukuta wa mwenzie anauharibu kwa kweli nakudharau sana...Hivi unashindwa hata kuomba sehemu ujihifadhi kidogo haja zako?Mimi nikikukuta unafanya hivyoo njiani sikwepeshi jicho aisee...utajua mwenyewee!!

3.Kumdhalilisha binti akikukataa hii tabia wanayo wanaume wengi akikukataa baada ya kumtongoza unamuekea kisasi unamsubiria aingie kwenye 18 zake umtukanee mpaka makaburi ya kwao au unampiga mradi tu yaani umdhalilishe kwa kua amekukataa.
Au mmeachana unaenda kumsagia kijiweni na kutoa siri zotee...loooh

4.Kudanganya kua hamjaoa kumbe una mke na watoto watano lllloohh vibaya...hvyo baba mtu mzima au mkaka kudanya hujaoa ili tu utimize haja zako za mwili

Yaani mwanaume anajifanya nasafiri kumbe yuko nyumbani kwa mkewe.Hv kama wampenda kweli mkeo unamziniaje sasa kama sio unafiki wa kiwango cha standard gauge...

Yapo mengi mengine wataongezea wadau...
una masharti rahisi sana
 
Hiyo ya pili inategemea na hali maana kama mwanaume kabanwa anatumia njia zozote kikubwa asijikojolee kwenye boxer, Under Field Condition. Hata wadada akibanwa anachuchumaa kwenye chocho anaachia tena wengine anapiga zote kubwa ba ndogo maana njia ya mkao wa ndogo na kubwa ni ileile kwa wadada.
 
hahahahahaa ila mm nipo tofauti kidogo, mimi demu nikimtongoza hlf akanikataa simdhalilishi wala simtukani kwasababu ni haki yake kunikataa, ila huwa namchunia milele hata simu zake sipokei wala text sijibu geniveros
 
Umeandika vzur sana bidada lakini Umesahau kuwa makuzi na malezi tunayo Pitia ukichanganya na mfumo wa maisha tabia zingine zinatokea automatic tu

Nikukumbushe kitu wakati unajiandaa kuchukia tabia flan za wanaume usisahau pia kuhakikisha huna tabia ambazo ni kero kwa wengine usije kuwa kero za Mmeo zimepelekea kuandika mihemko
 
hivi hizo tabia za kutukana wanawake wakikutaa bado zipoo??? sijaona hii kitu kitambo sana aise, unaishi ulimwengu gani huo??
 
#1. Hiyo ni tabia ya vijana waliokosa maadili, wanaume hawawezi kuvaa kipuuzi namna hiyo.

#2. Makuzi mabovu na urahisi wa mwanaume na maumbile yake.

#3 & 4 hasa kwa wale players, ambao bado hawaoni umuhimu wa kutulia na familia zao.
 
Hiyo ya pili inategemea na hali maana kama mwanaume kabanwa anatumia njia zozote kikubwa asijikojolee kwenye boxer, Under Field Condition. Hata wadada akibanwa anachuchumaa kwenye chocho anaachia tena wengine anapiga zote kubwa ba ndogo maana njia ya mkao wa ndogo na kubwa ni ileile kwa wadada.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] mdada kabisaa sijawahi kushuhudia mara nyingi nawaona wanaume
 
Habari wapendwa MMU

Kuna tabia ambazo mtoto wa kiume akiwa akiwa nazo zinatia mashaka kama ni mwanaume anaejielewa

1.Kuvaa suruali chini ya makalio wanaume wanaovaa suruali mtindo wanakera mno kwa kweli
Mwingine anavaa suruali vbaya mpaka nguo ya ndani inaonekana halafu ndo chaafu,nyeusi tii au makalio yanaoneka loohh.Hebu mjirekebishe tafadhali

2.Kujisaidia haja ndogo njiani,yaani nikikuta mwanaume anatoa ududu wake halafu anaugandamiza ukuta wa mwenzie anauharibu kwa kweli nakudharau sana...Hivi unashindwa hata kuomba sehemu ujihifadhi kidogo haja zako?Mimi nikikukuta unafanya hivyoo njiani sikwepeshi jicho aisee...utajua mwenyewee!!

3.Kumdhalilisha binti akikukataa hii tabia wanayo wanaume wengi akikukataa baada ya kumtongoza unamuekea kisasi unamsubiria aingie kwenye 18 zake umtukanee mpaka makaburi ya kwao au unampiga mradi tu yaani umdhalilishe kwa kua amekukataa.
Au mmeachana unaenda kumsagia kijiweni na kutoa siri zotee...loooh

4.Kudanganya kua hamjaoa kumbe una mke na watoto watano lllloohh vibaya...hvyo baba mtu mzima au mkaka kudanya hujaoa ili tu utimize haja zako za mwili

Yaani mwanaume anajifanya nasafiri kumbe yuko nyumbani kwa mkewe.Hv kama wampenda kweli mkeo unamziniaje sasa kama sio unafiki wa kiwango cha standard gauge...

Yapo mengi mengine wataongezea wadau...
Nashukuru kwakutohusika na tabia hata moja kati ya hizo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom