Unajua toka uumbaji,mwanaume aliumbwa kwa uwezo tofauti na mwanamke kuanzia tune ya sauti mpka maumbile,hata hvyo haizuii kufanya vitu vya kiume kwa minajisi ya kuufurahisha moyo wake,
Umeelezea kwa uzur ila kuna point ina miss kdgo,unajua kuvaa sio tabia,kua mlev sio tabia,kukojoa njian sio tabia,kuvuta sigara sio tabia wala kuvaa mlegezo sio tabia,tabia yaan na maanisha tabia ni kitu pekee ambacho kinakutofautisha wewe na watu wote walikuzunguka na ndio kitu pekee ambacho binadamu anakimiliki na kumtofautisha na wengine.
Ulivyosema hapo juu ni mienendo ya maisha na sio tabia asilan,ambayo asilimia kubwa wanaiga. Maumbile ya mwanamke hawez kojoa ovyo kama mwanaume bt kuna mazingira ambayo yanaweza kunifanya nikojoe bila kuathiri jumuia,bt mwanamke hawez na mnaumia hasa kwa sababu nyie hamuwez hvyo ila mngekua mnaweza msingealalamika.
Naijua nguvu ya mwanamke,najua uwezo wa ubongo wake,najua udhaifu wake,na uzuri najua kinachowasumbua wengi ila kinachowakwamisha ni ile sekta moja tu ya kutojiamini kwa asilimia mia. Hapo ndio ugonjwa pekee wa mwanamke ulipo na wameshindwa kujitoa katika utumwa huo.
Najua unaweza kua na mawazo tofauti ila kwa mwanamke aliesoma sanaaa,anaeishi mjini na anaemiliki ving ambavyo fedha inanunua,,ukichimba ubongo wake na yule ambae hajaenda shule kbsa,ambae yupo kijijin hata gar mwaka mzima hapandi kuna vitu vinavyoshabihiana kwa zaid ya 60%. Kitakachomwangusha tu huyu wa kijijini ni uelewa,na mazingira lakin vingine vyte mnalingana.
Yte kwa yte nimependa ukivyopangilia vzur. Tchao