Kabisa. ..kuongopa ili kupata nini cha ajabuWell said..Mwanaume kamili anayejielewa hafanyi hivyo labda awe mvulana
Habari wapendwa MMU
Kuna tabia ambazo mtoto wa kiume akiwa akiwa nazo zinatia mashaka kama ni mwanaume anaejielewa
1.Kuvaa suruali chini ya makalio wanaume wanaovaa suruali mtindo wanakera mno kwa kweli
Mwingine anavaa suruali vbaya mpaka nguo ya ndani inaonekana halafu ndo chaafu,nyeusi tii au makalio yanaoneka loohh.Hebu mjirekebishe tafadhali
2.Kujisaidia haja ndogo njiani,yaani nikikuta mwanaume anatoa ududu wake halafu anaugandamiza ukuta wa mwenzie anauharibu kwa kweli nakudharau sana...Hivi unashindwa hata kuomba sehemu ujihifadhi kidogo haja zako?Mimi nikikukuta unafanya hivyoo njiani sikwepeshi jicho aisee...utajua mwenyewee!!
3.Kumdhalilisha binti akikukataa hii tabia wanayo wanaume wengi akikukataa baada ya kumtongoza unamuekea kisasi unamsubiria aingie kwenye 18 zake umtukanee mpaka makaburi ya kwao au unampiga mradi tu yaani umdhalilishe kwa kua amekukataa.
Au mmeachana unaenda kumsagia kijiweni na kutoa siri zotee...loooh
4.Kudanganya kua hamjaoa kumbe una mke na watoto watano lllloohh vibaya...hvyo baba mtu mzima au mkaka kudanya hujaoa ili tu utimize haja zako za mwili
Yaani mwanaume anajifanya nasafiri kumbe yuko nyumbani kwa mkewe.Hv kama wampenda kweli mkeo unamziniaje sasa kama sio unafiki wa kiwango cha standard gauge...
Yapo mengi mengine wataongezea wadau...
Hizo zote cna bas nipm tuliamshe dude cz mi cio km wale!!Habari wapendwa MMU
Kuna tabia ambazo mtoto wa kiume akiwa akiwa nazo zinatia mashaka kama ni mwanaume anaejielewa
1.Kuvaa suruali chini ya makalio wanaume wanaovaa suruali mtindo wanakera mno kwa kweli
Mwingine anavaa suruali vbaya mpaka nguo ya ndani inaonekana halafu ndo chaafu,nyeusi tii au makalio yanaoneka loohh.Hebu mjirekebishe tafadhali
2.Kujisaidia haja ndogo njiani,yaani nikikuta mwanaume anatoa ududu wake halafu anaugandamiza ukuta wa mwenzie anauharibu kwa kweli nakudharau sana...Hivi unashindwa hata kuomba sehemu ujihifadhi kidogo haja zako?Mimi nikikukuta unafanya hivyoo njiani sikwepeshi jicho aisee...utajua mwenyewee!!
3.Kumdhalilisha binti akikukataa hii tabia wanayo wanaume wengi akikukataa baada ya kumtongoza unamuekea kisasi unamsubiria aingie kwenye 18 zake umtukanee mpaka makaburi ya kwao au unampiga mradi tu yaani umdhalilishe kwa kua amekukataa.
Au mmeachana unaenda kumsagia kijiweni na kutoa siri zotee...loooh
4.Kudanganya kua hamjaoa kumbe una mke na watoto watano lllloohh vibaya...hvyo baba mtu mzima au mkaka kudanya hujaoa ili tu utimize haja zako za mwili
Yaani mwanaume anajifanya nasafiri kumbe yuko nyumbani kwa mkewe.Hv kama wampenda kweli mkeo unamziniaje sasa kama sio unafiki wa kiwango cha standard gauge...
Yapo mengi mengine wataongezea wadau...
[emoji109]Hiyo ya kukojoa ukutani, siachi ng'o
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Takbiir,Mtetezi wa wanaume lazimanikiona shutumanitake angalau ifafanuliwe kwa kuwekaneno"baadhi", kwa kuwa si wote wenye kupenda ujinga.
Hapa mimi si zangu, lakini wanaofanya hivyo wengi ni wavulana, ambao wanaweza kuruhusiwa kutokana na umri wao, ukiona mwanamme kafanya hivyo ujue amani limbukeni ama ana matatizo ya kielimu/ kisaikolojia.
Zaidi, kanuni yangu ya msingini kwamba, mambo ya Ngoswe, muachie Ngoswe mwenyewe.
Hizi habari ustaarabu wa nilipo unalazimisha mtu kutokuwa nazo hata kama hutaki, na mimi sizitaki mwenyewe.
Wanaume wa kweli tunatongozwa na mabinti, hao wanaolazimisha mambo wamefulia.
We ball like Khashoggi , then we crawllike a Yogi
Doggfather of doggy doggies, the patron of your hobbies
Hazipiti siku tatu sijamtaja la aziz Bi Zuhura hapa, kwahiyo humo simo.
Hao labda wanajishauri kukuongeza uwe mke wa pili.
Hahahaa,Takbiir,
Alhamdulillah kwa uwezo wa mnyaaaz mungu na mtume wake Muhammad (S.A.W) nitaweza bila shaka.Hahahaa,
Mara tu kutajiwamke wa pili ushageuka Shekhe?
Ukipewa kitabu kuongoza kisomo Unguja Shekhe utaweza?
Naam, mpunga upo, ila ndizi njoo nayo Sheikh.Usije kupaaliwa.Alhamdulillah kwa uwezo wa mnyaaaz mungu na mtume wake Muhammad (S.A.W) nitaweza bila shaka.
Usijal yakhee...mola akijaaalia nitakuja navyo sheikh.Naam, mpunga upo, ila ndizinjoonayo Sheikh.Usije kupaaliwa.
Ulishawahi kudanganganywa?No 4 sijui kama watabadilika
Wewe ukiambiwa ukweli utatoa papuchi??1. Wanachefua sana, wenyewe sijui ndio wanajikutaga Lilywine au 2paC
hakuja kitu nachefukwa nacho kama kuona boxa ya mwanaume barabarani ,imetundikwa makalioni kama bendera ya katibu kata, ni jambo linalochefua sana. hivi nyinyi wanaume nani kawaambia mlegezo ni uwanaume? mimi nikiwaonaga nawaona kama akina kaoge
mwanaume gani unavaa mlegezo mku.ndu wote uko wazi, waambieni wadogo zenu tabia hizo sio nzuri
ni sawa na kumkuta mwanaume kavaa shati la pink.
4. Wanaume muwage mnatuambia kuwa mmeoa tujue kuwa tunacheza makida kwenye transforma, kudanganya haisaidii
bora umweke wazi mtu kuwa yeye ni mpango wa kando,aridhie kwa hiari yake, mambo ya kugonganishwa na wake zenu hatutaki,hatutaki kumwagiwa tindi kali.
tuwekeni wazi tujue sisi zamu yetu lini na wakati gani.
Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
Mara nyingi ni wavulana ndio hufanya hivyoKabisa. ..kuongopa ili kupata nini cha ajabu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126] zooote sina.., ila hili la kukojoa unamaanisha hata kama hamna watu?
We mwenyew apo ulinidanganya eti ni ww tu Inna nakupenda sina mwingineUlishawahi kudanganganywa?
Tabia zote za wavulana hizo.. hakuna za mwanaume hapo..Habari wapendwa MMU
Kuna tabia ambazo mtoto wa kiume akiwa akiwa nazo zinatia mashaka kama ni mwanaume anaejielewa
1.Kuvaa suruali chini ya makalio wanaume wanaovaa suruali mtindo wanakera mno kwa kweli
Mwingine anavaa suruali vbaya mpaka nguo ya ndani inaonekana halafu ndo chaafu,nyeusi tii au makalio yanaoneka loohh.Hebu mjirekebishe tafadhali
2.Kujisaidia haja ndogo njiani,yaani nikikuta mwanaume anatoa ududu wake halafu anaugandamiza ukuta wa mwenzie anauharibu kwa kweli nakudharau sana...Hivi unashindwa hata kuomba sehemu ujihifadhi kidogo haja zako?Mimi nikikukuta unafanya hivyoo njiani sikwepeshi jicho aisee...utajua mwenyewee!!
3.Kumdhalilisha binti akikukataa hii tabia wanayo wanaume wengi akikukataa baada ya kumtongoza unamuekea kisasi unamsubiria aingie kwenye 18 zake umtukanee mpaka makaburi ya kwao au unampiga mradi tu yaani umdhalilishe kwa kua amekukataa.
Au mmeachana unaenda kumsagia kijiweni na kutoa siri zotee...loooh
4.Kudanganya kua hamjaoa kumbe una mke na watoto watano lllloohh vibaya...hvyo baba mtu mzima au mkaka kudanya hujaoa ili tu utimize haja zako za mwili
Yaani mwanaume anajifanya nasafiri kumbe yuko nyumbani kwa mkewe.Hv kama wampenda kweli mkeo unamziniaje sasa kama sio unafiki wa kiwango cha standard gauge...
Yapo mengi mengine wataongezea wadau...