Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,380
- 56,094
hahaha tatizo ukimwona mwenzio anakoja unajikuta nawe unatakakwa nini nje au ukutani?
sio vizuri
sawa tunaelewa ila sio kusema mwenye hizi hawezi ishi na mke au vipi...cha msingi ni kukumbushana kama ambavyo wanawake tunakumbushwaga humuUmeandika vzur sana bidada lakini Umesahau kuwa makuzi na malezi tunayo Pitia ukichanganya na mfumo wa maisha tabia zingine zinatokea automatic tu
Nikukumbushe kitu wakati unajiandaa kuchukia tabia flan za wanaume usisahau pia kuhakikisha huna tabia ambazo ni kero kwa wengine usije kuwa kero za Mmeo zimepelekea kuandika mihemko
Tuko Pamoja mkuusawa tunaelewa ila sio kusema mwenye hizi hawezi ishi na mke au vipi...cha msingi ni kukumbushana kama ambavyo wanawake tunakumbushwaga humu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] uso umechoka na stress za ndoaNamba 4 ni janga kwakweli, unakutana na mtu kwakumuangalia tuu muonekano wa nje unamuona alivyochoshwa na stress za ndoa yake alafu bila aibu anakwambia sijaoa [emoji26][emoji26][emoji26]
Wanaume wenye tabia hii Mungu anawaona na mtahukumiwa vibaya embu acheni uongo [emoji57]
Namba 4 ni janga kwakweli, unakutana na mtu kwakumuangalia tuu muonekano wa nje unamuona alivyochoshwa na stress za ndoa yake alafu bila aibu anakwambia sijaoa [emoji26][emoji26][emoji26]
Wanaume wenye tabia hii Mungu anawaona na mtahukumiwa vibaya embu acheni uongo [emoji57]
Mimi sielewi kwanini hawapendi kuwa wazihahahahah ila hii ht wanwake wanayo sana kufake kuwa hawajaolewa!raha ya mapenzi ni uwazi!
Sema tu ukiona mtu katoa dudu kajificha ukutani anakojoa mawazo yako yanaenda mbalihadharani...au nyuma ya ukuta
Kwa sababu hampendi waliooa ndio mnadanganywa maana mnataka sana kuolewaNo 4 sijui kama watabadilika