Tabia mbaya za wanaume zisizopendeza

Tabia mbaya za wanaume zisizopendeza

Dah hii thread itakosa wachingiaji ila viewers watakua nyomi. Ujue kuna eneo ukifika ukizoea utakojoa tu yaani unasikia kama unavutwa ukojoe .

Kudanganya hayo mambo ya kawaida . Kikubwa usimuamini mtu yeyote take that principle itakusaidia.

Ayo ya maboxer kwa kweli yanakera dah yaani. Kenyaaa.
 
Habari wapendwa MMU

Kuna tabia ambazo mtoto wa kiume akiwa akiwa nazo zinatia mashaka kama ni mwanaume anaejielewa

1.Kuvaa suruali chini ya makalio wanaume wanaovaa suruali mtindo wanakera mno kwa kweli
Mwingine anavaa suruali vbaya mpaka nguo ya ndani inaonekana halafu ndo chaafu,nyeusi tii au makalio yanaoneka loohh.Hebu mjirekebishe tafadhali

2.Kujisaidia haja ndogo njiani,yaani nikikuta mwanaume anatoa ududu wake halafu anaugandamiza ukuta wa mwenzie anauharibu kwa kweli nakudharau sana...Hivi unashindwa hata kuomba sehemu ujihifadhi kidogo haja zako?Mimi nikikukuta unafanya hivyoo njiani sikwepeshi jicho aisee...utajua mwenyewee!!

3.Kumdhalilisha binti akikukataa hii tabia wanayo wanaume wengi akikukataa baada ya kumtongoza unamuekea kisasi unamsubiria aingie kwenye 18 zake umtukanee mpaka makaburi ya kwao au unampiga mradi tu yaani umdhalilishe kwa kua amekukataa.
Au mmeachana unaenda kumsagia kijiweni na kutoa siri zotee...loooh

4.Kudanganya kua hamjaoa kumbe una mke na watoto watano lllloohh vibaya...hvyo baba mtu mzima au mkaka kudanya hujaoa ili tu utimize haja zako za mwili

Yaani mwanaume anajifanya nasafiri kumbe yuko nyumbani kwa mkewe.Hv kama wampenda kweli mkeo unamziniaje sasa kama sio unafiki wa kiwango cha standard gauge...

Yapo mengi mengine wataongezea wadau...
Haya ndio yale yanayoitwa masharti nafuu
 
Hiyo ya kukojoa ukutani, siachi ng'o

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]

Sent from my ZTE Kis3 max using JamiiForums mobile app
 
Sema yooote ila sidhani kama nitaacha kukojoa kichakani ilimradi hakuna Ndoye.

Hiyo ni asili yetu, vyoo hatuna, na hata tukiwa navyo hatujui namna ya kuvitumia.

Jasiri aachi asili....[emoji6]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]

Sent from my ZTE Kis3 max using JamiiForums mobile app
 
1. Wanachefua sana, wenyewe sijui ndio wanajikutaga Lilywine au 2paC
hakuja kitu nachefukwa nacho kama kuona boxa ya mwanaume barabarani ,imetundikwa makalioni kama bendera ya katibu kata, ni jambo linalochefua sana. hivi nyinyi wanaume nani kawaambia mlegezo ni uwanaume? mimi nikiwaonaga nawaona kama akina kaoge
mwanaume gani unavaa mlegezo mku.ndu wote uko wazi, waambieni wadogo zenu tabia hizo sio nzuri
ni sawa na kumkuta mwanaume kavaa shati la pink.

4. Wanaume muwage mnatuambia kuwa mmeoa tujue kuwa tunacheza makida kwenye transforma, kudanganya haisaidii
bora umweke wazi mtu kuwa yeye ni mpango wa kando,aridhie kwa hiari yake, mambo ya kugonganishwa na wake zenu hatutaki,hatutaki kumwagiwa tindi kali.
tuwekeni wazi tujue sisi zamu yetu lini na wakati gani.

Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] bendera ya katibu kata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom