Tabia inayonikera ya baadhi ya wanaume

Tabia inayonikera ya baadhi ya wanaume

Dada nafikiri huo ni mtazamo wako coz mabint wengne hupenda kutongzwa hapo huamin wanapendwa.
nawasilisha.......
 
Na usipotongozwa napo shida,shukuru kwa kutongozwa,nadhan ni kawaida sana kwa bint kutongozwa,ila inategemea unajiwekaje????
 
ni ushamba na umapepe!!!mxiuu wanakeraga kishenz yaani
 
Na nyie huwa mnajisikiaje mkitongozwa?

Nimeshawahi kuwasikia baadhi ya wanawake wanalalamika kuwa huwa hawatongozwi...

mie inategemea shemeji na mazingira ya mtongozaji. lol. tusalimiane basi kwanza.
 
Hivi kumbe sijakusalimia eenh...mambo yako aje aje shemeg la mimi!!!

Mazingira yapi ya mtongozaji wayahafiki na yapi huyaafiki??

mie inategemea shemeji na mazingira ya mtongozaji. lol. tusalimiane basi kwanza.
 
Hivi kumbe sijakusalimia eenh...mambo yako aje aje shemeg la mimi!!!

Mazingira yapi ya mtongozaji wayahafiki na yapi huyaafiki??

hehehehe!! shem hebu fungua hiyo link hapo chini nilielezea vizuri tu shem.
 
anakuwa yuko field

anapima uwezo wake wa kutongoza asije kuwa domo zege!
 
Mbna mnanidisi ivyo wadau?
Inshort mi nikiona kchka tu lazma yanibane! Kwa hyo nikiiona jinsia ya kike lazma nimtongoze,alafu swala la umri halimat in my view coz mi nachokitaka ni penetration tu maswala ya kuoa hayo ni badae sana,
 
ni ushamba na umapepe!!!mxiuu wanakeraga kishenz yaani
Kuwa na adabu wewe.Bwana wako alikupataje?Unajua ametongoza wangapi kabla hajakupata wewe?Unajua anaendelea kutongoza wangapi baada ya kukupata wewe?Pambav
 
Kuwa na adabu wewe.Bwana wako alikupataje?Unajua ametongoza wangapi kabla hajakupata wewe?Unajua anaendelea kutongoza wangapi baada ya kukupata wewe?Pambav

pambavuu mwenyewe!una uhakika gani mie na bwana?afu kama sina adabu njoo nifunzee!!siyo kila anayevaa koti jeupe daktari wengne wauza nyama!
 
Back
Top Bottom