- Thread starter
- #21
I beg to differ. Ni ukitombi!
kweli mkuu
I beg to differ. Ni ukitombi!
Kuna wanawake kutongozwa hadi waende kwa sangoma! Be thankful!
Wakati mwingine wanakuwa wanafanya utani au mzaha tu ili kumfanya mwanadada husika ajione analipa. Si unajua nyie wenzetu nasikia wiki ikipita bila kupata mwanaume wa kukusemesha mnaenda kwa waganga kusafisha nyota.
sidhani kama kuna ukweli hapa,
Mbona wanawake wasipotongozwa siku nzima wanajiona wabaya?
mmmh...sio wote lakini
kwa hiyo mnafanya hivyo kuturidhisha wanawake?
its funny kutongoza!! ianongeza maisha ya kuishi, inakupa courage!
Kweli kabisaa hayaogop k yashajitoaa muhangaa hayoo kila k yataka zingine zimeozaa oooohoooo
Ukitaka kujua mwanamme hamwendani mvulie, ikilegea sana ama kushindwa kupita jua hamwendani.
Lakini unasema mwanamme hamwendani huku kavaa? Ni utovu wa heshima kwa viungo vya uzazi.
afadhali nimeelewa
mwanaume rijali ni yule anayejua kutembeza bakora
Sifa ya toto la kiume linalofunction fresh kutongoza ni Kanuni unashanga kutoongoza? he we Wa wapi? Kwan UshatongoZwa ha Wangapi? ni PM nikupe dili
Nakubaliana na hoja 100%
Huyo dada ana kasoro hajui ameumbwa kugegedwa
hahaha usichukulie serious, na mara nyingi huwa tunajaribu bahati mbaya sana ndege hunasa hapo hapo