- Thread starter
- #101
naona wameguswa, ila sio sifa kaka zetu, kutongoza kupo hata sisi tunajua, ila kuna wengine wanafanya kama ni kaprofession vile.
umeona eeh
naona wameguswa, ila sio sifa kaka zetu, kutongoza kupo hata sisi tunajua, ila kuna wengine wanafanya kama ni kaprofession vile.
mbona hata mimi nakelwa na tabia za baadhi ya wanawake za kukataa hovyo! kisa anakuona unadandia Haice na toyo ikibidi unachapa rapa daily
Huyu inaonekana wenzake wanatongozwa zaidi yake! Hapa katumia design tu kulalamika maana sioni kero iko wapi wakitongozwa wakubwa wadogo wanene wembamba e.t.c.
Lazima huyu binti hatongozwi ila anashuhudia sana wengine wakitongozwa!
Ingekua yeye ndio anakereka angesema kwa kutongozwa (which is very unlikely for a women) angesema ila hapa kuna kawivu tu!
Usijali dada, jiamini, vaa vizuri, nukia utatongozwa tu na wewe hata kama una DNA phenotype ya marehemu Remmy Ongalla may he RIP.
Wewe unakua wapi ku observe huyo mwanaume anaetongoza kila mtu?
Na kama wewe umetongozwa ukakataa kinakukera nini ukiona na mwenzako mwingine katongozwa?
Kutongozwa ni a one on one encounter inakueje ikukere wewe wa pembeni? Mimi nimeshindwa kuelewa argument yako unless wewe hutongozwi hivyo unasikia kawivu kidogo. Maana ukikaa na mabest unasikia story za kutongozwa na wewe huna current reference hata 1.
Haiwezi zikapita siku 2 sija tongoza, i love the challenge, kuna mdau hapa kasema practice makes perfect, so i'm after perfection.
Labda ye anaona mnaendana?
ukimwona mwanamke mzuri ni haki yako kumtongoza...
lakini kumbuka sio kila mwanamke mzuri ni type yako, vingine vya wakubwa jmn....labda zinakuwaga sio akili zao wanapotongoza kwa sbb wapo wanapsukumwa kutongoza na ujasiri wa viroba, bhangi na pombe
Habarini za usiku wapendwa,
kunatabia ambayo binafsi inanikera kwa baadhi ya wanaume sasa sijui inatokana na nini! Tabia yenyewe ni ya kutongoza tongoza ovyo kila mwanamke au msichana atakayekutana naye katika mazingira yake ya kila siku, yani awe mzuri au mbaya yeye ni kutongoza tu, awe kamvutia au hata hajamvutia yeye ni kutongoza tu, kamzid umri au mdogo kwake atatongoza tu!
Mfano mwanaume wa namna hii;
kama ni doctor- 90% ya wagonjwa wa kike watatongozwa
huwa nashindwa kuelewa hivi ni tabia au nini kinawasumbua? Au virusi! Mawazo yenu wakuu
hp ht mm huwa nachoka, yn wanaume mnatia aibu mtu mwingine ht robo hamuendani lakini yupo tu na yeye kufuata mkumbo kutongoza sizr si yake! Tabia mby