Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,179
- 34,435
Ukitombi ndo nini? Halafu we kwenu Mlandizi nini?
Kila mwanamke? Ni kero NN.
Ukitombi ndo nini? Halafu we kwenu Mlandizi nini?
ni kwel ata mim japo mwanaume cfurahii hyo tabia! mwisho wa cku ata neno kupenda lnapoteza uhalsia wke! 2badiliken
Duuuuuu mtoa mass ni Kuwa umejionea au unataka sifa eti awe mzuri au mbaya sidhan kama unawatendea khaki.
Yaap! Hahaaaaakinasa mnamaliza
kutongoza ni sayansi na pia ni sanaa! ni taaluma kama taaluna nyingine usipoitumia ujuzi unapungua
Inawezekana kweli,kuna mzee mmoja mpaka leo anatongonza tongonza tu,wanae wa kiume wamefuata.Wake za watoto kutwa kulalamika kwa mama mkwe wao,anawajibu wamefuata kwa baba yao.Sasa sijui baba yao aliitoa wapi?Ni DNA hiyo.
ha haa! Ukipungua ndo udomozege unakunyemelea!
ni kwel ata mim japo mwanaume cfurahii hyo tabia! mwisho wa cku ata neno kupenda lnapoteza uhalsia wke! 2badiliken
Habarini za usiku wapendwa,
kunatabia ambayo binafsi inanikera kwa baadhi ya wanaume sasa sijui inatokana na nini! Tabia yenyewe ni ya kutongoza tongoza ovyo kila mwanamke au msichana atakayekutana naye katika mazingira yake ya kila siku, yani awe mzuri au mbaya yeye ni kutongoza tu, awe kamvutia au hata hajamvutia yeye ni kutongoza tu, kamzid umri au mdogo kwake atatongoza tu!
Mfano mwanaume wa namna hii;
kama ni doctor- 90% ya wagonjwa wa kike watatongozwa
huwa nashindwa kuelewa hivi ni tabia au nini kinawasumbua? Au virusi! Mawazo yenu wakuu
Habarini za usiku wapendwa,
kunatabia ambayo binafsi inanikera kwa baadhi ya wanaume sasa sijui inatokana na nini! Tabia yenyewe ni ya kutongoza tongoza ovyo kila mwanamke au msichana atakayekutana naye katika mazingira yake ya kila siku, yani awe mzuri au mbaya yeye ni kutongoza tu, awe kamvutia au hata hajamvutia yeye ni kutongoza tu, kamzid umri au mdogo kwake atatongoza tu!
Mfano mwanaume wa namna hii;
kama ni doctor- 90% ya wagonjwa wa kike watatongozwa
huwa nashindwa kuelewa hivi ni tabia au nini kinawasumbua? Au virusi! Mawazo yenu wakuu