Tabia inayonikera ya baadhi ya wanaume

Tabia inayonikera ya baadhi ya wanaume

India wanaanza kwanza na masongi, maua hadi akutamkie baadae sana.
 
Kunguru hafugiki.

Wanaume tunakwepa na kushinda vishawishi na mitihani kila siku.
 
Habarini za usiku wapendwa,

kunatabia ambayo binafsi inanikera kwa baadhi ya wanaume sasa sijui inatokana na nini! Tabia yenyewe ni ya kutongoza tongoza ovyo kila mwanamke au msichana atakayekutana naye katika mazingira yake ya kila siku, yani awe mzuri au mbaya yeye ni kutongoza tu, awe kamvutia au hata hajamvutia yeye ni kutongoza tu, kamzid umri au mdogo kwake atatongoza tu!

Mfano mwanaume wa namna hii;
kama ni doctor- 90% ya wagonjwa wa kike watatongozwa

huwa nashindwa kuelewa hivi ni tabia au nini kinawasumbua? Au virusi! Mawazo yenu wakuu

virusi vnatoka wap tena hapa?
 
hiyo inaitwa sampling!!! lazima ufanye probability ili utoke na kitu cha maana bana!!

sasa we uking'ang'ana na ladha moja kila siku, si utakosa appetite!
 
Umenikumbusha wanapita wanawake wawili, then mtu anaita psss! Anaegeuka anaambiwa sio wewe ni huyo mwenzio. Siku nyingine anaweza asiongozane nae kwa kuhofia hana mvuto ukilinganisha na mwenzake
 
naona wameguswa, ila sio sifa kaka zetu, kutongoza kupo hata sisi tunajua, ila kuna wengine wanafanya kama ni kaprofession vile.
 
mbona hata mimi nakelwa na tabia za baadhi ya wanawake za kukataa hovyo! kisa anakuona unadandia Haice na toyo ikibidi unachapa rapa daily
 
Mko wengi so 2kisema kila mwanaume atongoze dem mmoja wengne mtaangaliana tu!
 
Huyu inaonekana wenzake wanatongozwa zaidi yake! Hapa katumia design tu kulalamika maana sioni kero iko wapi wakitongozwa wakubwa wadogo wanene wembamba e.t.c.
Lazima huyu binti hatongozwi ila anashuhudia sana wengine wakitongozwa!
Ingekua yeye ndio anakereka angesema kwa kutongozwa (which is very unlikely for a women) angesema ila hapa kuna kawivu tu!

Usijali dada, jiamini, vaa vizuri, nukia utatongozwa tu na wewe hata kama una DNA phenotype ya marehemu Remmy Ongalla may he RIP.
 
Habarini za usiku wapendwa,

kunatabia ambayo binafsi inanikera kwa baadhi ya wanaume sasa sijui inatokana na nini! Tabia yenyewe ni ya kutongoza tongoza ovyo kila mwanamke au msichana atakayekutana naye katika mazingira yake ya kila siku, yani awe mzuri au mbaya yeye ni kutongoza tu, awe kamvutia au hata hajamvutia yeye ni kutongoza tu, kamzid umri au mdogo kwake atatongoza tu!

Mfano mwanaume wa namna hii;
kama ni doctor- 90% ya wagonjwa wa kike watatongozwa

huwa nashindwa kuelewa hivi ni tabia au nini kinawasumbua? Au virusi! Mawazo yenu wakuu
Wewe unakua wapi ku observe huyo mwanaume anaetongoza kila mtu?
Na kama wewe umetongozwa ukakataa kinakukera nini ukiona na mwenzako mwingine katongozwa?
Kutongozwa ni a one on one encounter inakueje ikukere wewe wa pembeni? Mimi nimeshindwa kuelewa argument yako unless wewe hutongozwi hivyo unasikia kawivu kidogo. Maana ukikaa na mabest unasikia story za kutongozwa na wewe huna current reference hata 1.
Haiwezi zikapita siku 2 sija tongoza, i love the challenge, kuna mdau hapa kasema practice makes perfect, so i'm after perfection.
 
Mkitongozwa sn shida, msipotongozwa mnakwenda kwa waganga kung'arisha nyota. sasa bora nini?
 
hiyo inaitwa sampling!!! lazima ufanye probability ili utoke na kitu cha maana bana!!

sasa we uking'ang'ana na ladha moja kila siku, si utakosa appetite!

mtakula hadi na vilivyo chacha
 
Back
Top Bottom