Wana Jf
Nipo kijijini kwenye msiba, kuna tabia zinakera sana.
Kila unayekutana nae anataka umpe hela.
Nimetoka jioni kwenda kupooza koo, imekuwa kero.
Jamani inakuaje kijijini.. Ni huku kwetu tu au hata kwenu wapo?
Kwani huko kwenu ni kijiji gani?, sie kwetu hamubaga mambo za namna hii- nikienda likizo najirani hunikaribisha kwa vibuyu vya maziwa na nyama choma mpaka nakinai.
Kwani huko kwenu ni kijiji gani?, sie kwetu hamubaga mambo za namna hii- nikienda likizo najirani hunikaribisha kwa vibuyu vya maziwa na nyama choma mpaka nakinai.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.