Tabia hizi zina kera watu wengi

Tabia hizi zina kera watu wengi

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,488
Reaction score
65,834
Tabia hizi zina kela watu wengi

1) Mtu anaekula na unamsikia kabisa anavyo tafuna Mdya mdya mday

Hii sio sawa tena mbele za watu ase

2) Unywaji wa chai hii shida ya taifa anaivuta kabisa fvuuuu fvuuu

Inashusha heshima sana unakuta mtu kaulamba vizuri unywaji wa chai ndio uho

3) Mtu anae koloma
Kuna watu wanakoloma vibaya mnoo kama generata bovu au gari moshi ase

4) Kucheka kuna watu baada ya kucheka mnachekesha watu yaani mnacheka vibaya sana mtoto wa kiume au wakike unacheka unajiachia mdomo wazi mpaka unalushia watu mate vibaya hii

Ongezea yako nyingine
 
VYUMBA VYA KUPANGA VILIVOKARIBIANA RAHA MPEANE NYIE KERO KWA WENGINE UNAKUTA MTU ANAPIGA MAYOWE HATA UFUNGULI REDIO SAUTI KUBWA BADO KELELE UNAZISIKIA KWANINI MSIFANYE KIMYA KIMYA HII ILIKUWA INANIKERA SANA MIAKA HYO.
Daaah hii nyumba mie ningelipa hata kodi miaka miwili ili nisijekutoka, na hao wapangaji wenzangu ngewakopesha kodi ikitokea wamekwama....
 
Back
Top Bottom