Tabia hizi za wageni zinakera

Uzi wa kipuuzi sana huu....JF ishaingiliwa na members wa Facebook... zamani tulikua tunatumia JF kama chanzo cha taarifa na maarifa muhimu,leo tunaingia JF tunakutana na mambo ambayo haya add value kabisa kwenye maisha yetu....inauma sana,ndio maana wengine tumehamia kwenye platform za kimataifa kama Tapatalk,Quora n.k maana huko tunaweza kujadiri mambo ya maana,au tukajifunza vitu vipya,...katika dunia ya leo ya kibepari ubongo unahtaji kulishwa na kujazwa maarifa na taarifa ambazo ni muhimu,....tuliifaidi sana JF miaka ya 2010-2015 lakini baada ya hapo wambea wa Insta, Facebook nao wamejiunga...sasa ukiingia tu unakutana na post ya "uume wangu mdogo,naweza kumridhisha?"like seriously!!.... nowadays we think very small,we are not great thinker any more.....lakini tutafanyaje sasa inabidi tuzoee!

Sent using Jamii Forums mobile app
Shule zimefunga wakuu. Tuwavumilie tu.
 
Kama sijapata emergency hua sipendi kufikia kwa mtu. Napenda kulala lodge kwa kua napata uhuru wa kufanya lolote wakati wowote.
Hasa sisi tunaobugia balimi.Hatupendi kwenda ugenini majumba ya watu.Tunawasiliana kama wanachama tutakutana sehemu gani,basi!Ya nini kusimangiwa charger?Wanakuona siku ya pili mchana,unaongea na wenyeji kidogo halafu unajidai una haraka sana.Ndiyo kwa heri mwalimu hiyo.
 
Uzi wa kipuuzi sana huu....JF ishaingiliwa na members wa Facebook... zamani tulikua tunatumia JF kama chanzo cha taarifa na maarifa muhimu,leo tunaingia JF tunakutana na mambo ambayo haya add value kabisa kwenye maisha yetu....inauma sana,ndio maana wengine tumehamia kwenye platform za kimataifa kama Tapatalk,Quora n.k maana huko tunaweza kujadiri mambo ya maana,au tukajifunza vitu vipya,...katika dunia ya leo ya kibepari ubongo unahtaji kulishwa na kujazwa maarifa na taarifa ambazo ni muhimu,....tuliifaidi sana JF miaka ya 2010-2015 lakini baada ya hapo wambea wa Insta, Facebook nao wamejiunga...sasa ukiingia tu unakutana na post ya "uume wangu mdogo,naweza kumridhisha?"like seriously!!.... nowadays we think very small,we are not great thinker any more.....lakini tutafanyaje sasa inabidi tuzoee!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii in JAMII! Wewe unalieleawaje neno JAMII?? ukielewa maana ya neno JAMII hata siku moja hautakuja kulalamika kuhusu maada za ajabu/ kijinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hasa sisi tunaobugia balimi.Hatupendi kwenda ugenini majumba ya watu.Tunawasiliana kama wanachama tutakutana sehemu gani,basi!Ya nini kusimangiwa charger?Wanakuona siku ya pili mchana,unaongea na wenyeji kidogo halafu unajidai una haraka sana.Ndiyo kwa heri mwalimu hiyo.
Ugenini unakosa freedom sana, pia kingine 'Privacy is not guaranteed'.
ukipiga vitu unakosa 'confidence' kabisa bora kufikia lodge kama ni mitungi unapiga 'to your limit'
 
Ugenini unakosa freedom sana, pia kingine 'Privacy is not guaranteed'.
ukipiga vitu unakosa 'confidence' kabisa bora kufikia lodge kama ni mitungi unapiga 'to your limit'
Wengine tukipiga masanga tunaporudi nyumbani lazima tyimbe nyimbo za kikwetu kwa sauti na shati begani,kifua wazi.Sasa,kwa hii namna ya mleta uzi lazima atanikoyonga makofi.Ndipo vita ya tatu ya dunia itazuka.Nyumba za wageni zidumu!
 
Kweli saa zingine ugeni huwa vimaudhi,ila kwa mfano uloutowa it's a fucking reason na mwingine katolea mfano Wa mpira na tamthilia ya Sultan nyie watu mnaonyesha mna roho chafu sana. Halafu kama roho yako ni mbaya si unawaambia tu hao wageni wasije kwani ni lazima uwakubalie kuja kwako?
 
Back
Top Bottom