Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 33,863
- 54,096
Mkuu hebu fanya kutuasa yale unayoyakumbuka na sisi ambao huwa tunachukulia vitu kwa urahisi tu.kuna kakitabu nilisomaga kanaeleza mambo yasiyofaa ugenini. Haifai kuazima vitu vidogovidogo ugenini.