Sema usaidiwe bandugu!!
Zimetimia kbsa na tena ni rijali wa nguvu!!
Zamani ulikuwa unanyonya ziwa la mama,
leo na umri huo unanyonya nini?
Umechoka kuishi.
Umejuaje kama ni rijali tena wa nguvu. Hebu iseme na tabia mbaya hii, plz!
Afu mbona hakuna anayesema ana tabia mbaya ya kufanya matusi, au hiyo ni tabia nzuri?
Hapana. Kwani vipi?
Asante sana mpendwa CL,
Ila cjui kama nitaweza kuacha.
Yani nimekuwa kama mchawi.
Nikiona kucha za mtu yeyote,mwili unanisisimka na hamu ya kuzitafuna inanijia.
Nilishawekwaga Kitimoto baada ya kukutwa namkata kucha mtoto wa jirani huku nazitia ktk kikaratasi.
Nilinywea acha tu.
Yani cjui nina ugonjwa gani.
Kwani vipi kuhusu nini?
Hujui kama ruttashobolwa huyo lawyer wenu ndio usingizi wangu?
Au unahitaji kwenda jela?
Endelea kunichokoza.
Kupenda wanawake walionizidi umri........
Utakatwa weweeee!