me tabia ya kujichungulia maumbile yangu, huwa naichukia basi tu nashindwa kuiacha!
duh. Mi nna tabia ya kunusa vitu aisee. Na nikivua nguo hata pichu lazma niinuse! Sometimes nanusa chakula, kijiko ama sahani. Na nna pua very sensitive kama sungura! Kama sahani ilikushwa na towel chafu naisikia. Sijui nna kichaa?
duh. Mi nna tabia ya kunusa vitu aisee. Na nikivua nguo hata pichu lazma niinuse! Sometimes nanusa chakula, kijiko ama sahani. Na nna pua very sensitive kama sungura! Kama sahani ilikushwa na towel chafu naisikia. Sijui nna kichaa?
Nashangaa hyo staili yako.
Huwa unavua nguo mbele ya kioo au unajifunua nguo kbsa?
Tabia ya kuonjaonja chakula kikiwa kwenye hatua za maandalizi. Sasa hivi nikijiandalia chakula, hadi kinaiva mie tayari nshashiba.