Smartboy
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 1,111
- 129
Wakati waislam wanakomaa na matamko wakristu wanzidi kufungua vyuo, na humo watosama waislam,wakristu na wasio na dini. Wakati wanakomaa na mahakama ya kadhi wakristu wanafungua mahospitali na huduma nyingine za kijamii pia humo waislam na wasio waislam wanatibiwa. Jamani waislamu shindaneni na wakristu kwa kuanzisha miradi ya maendeleo yaani kujenga vyuo,shule za msingi na sekondari, hospitali za kutosha nk. Hii chadema icheni inashinda na Ccm sio dini tena, mnaacha ya maana mnakomaa na Cdm. Kiukweli mnapoteza muda, na mkiamka wakristu watakuwa mbali.