kaka kaka uwe mkweli kutengwa kule kuliwahusu wakatoliki tu ambao walikufuru kanisa na utatu mtakatifu usiwe mwongo sumbawanga yenyewe unayosema ina wakatoliki 90% ambapo na uhakika waisilamu kule rukwa hata hawafiki 5%, acha unafiki na ueche udini huo. Hivi imagine kama wakristo tungekuwa na roho nyepesi ya ugomvi kama zenu hivi hii nchi au hata dunia hii ingekalika kweli! Nafika mahari kwa kiasi fulani naamini maneno ya sheik yahaya kuwa waisilamu wangezidi hata kwa 1% tu dunia isingekalika hebu angalia nchi zifuatazo iraq, libya, tunisia, misri, sudan, somalia, syria, lebanon, palestine zote hizi zinatawaliwa na sharia lakin watu ni wabinafsi wanaopenda kujilimbikizoia mali. Hebu tulieni tumechoka kusikia watu wakiuana kwenye hizi nchi tuacheni tuishi kwa amani mmezidi uzushi. Nashangaa leo mnabadirisha eti wale waliotengwa na kanisa ni muslim mbona wameomba msamaha na wamerudi kanisani, msijichanganye kama sakata la mkuu wa wilaya ambaye sisi tunampa yesu ekaristi na kumlisha kiti moto baadaye mnadai muumini wenu. Sis wezenu watu wetu tunajua kwa ubatizo na si kwamajina kama mfanyavyo. Hebu elimikeni ili mgundue jinsi ya kuwatambua watu wenu.