simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,409
- 9,183
A fresh breath of air in the mucky waters our poiitics has turned out to be. IPF and BATAMIKI must be commended for setting the facts straight.
Bakwata ndio waganga njaa wakubwa.Hata mimi nasubiri Bakwata. Hawa nao inawezekana wanaganga njaa
Mi nadhani utakuwa mwelewa mzuri in case hauamini kila jambo na unakuwa mtu unaye badilika usiye rigidHawa wamenunuliwa kwa pesa ndogo sana ili wafanye propaganda ya kuwadanganya waislam.jana kulikuwa na thred inayosema wamehongwa laki 8 si mmeona?hatudanganyiki ht siku moja.cdm na ukristo na uchaga dam dam
kuwa mkweli ni sifa inayo hitajika sana hapa JF;Mbowe alimpiga kofi mwangalizi maalum wa kiislam huko hai na kesi ipo mahakamani,sumbawanga wakristo walitengwa kanisani kisa wameunga mkono mgombea mwislam wa ccm,leo mnawanunua waislam feki kuwasafisha.kwanza taasisi zenyewe zimeanzishwa lini izo mbona sijawai kuziskia,au ndo kazi maalum ya kuisafisha cdm?
Hawataki kusikia facts hawa jamaa achana nao. Si unaona walivyokushambulia kwenye mchango wako uliowaambia habari ya hongo ya laki nane. Ukweli wanaujua. Ila waislamu tunajiamini huyu jamaa GODIGODI lazima atueleze ukweli aliyempa hizo pesaMbowe alimpiga kofi mwangalizi maalum wa kiislam huko hai na kesi ipo mahakamani,sumbawanga wakristo walitengwa kanisani kisa wameunga mkono mgombea mwislam wa ccm,leo mnawanunua waislam feki kuwasafisha.kwanza taasisi zenyewe zimeanzishwa lini izo mbona sijawai kuziskia,au ndo kazi maalum ya kuisafisha cdm?
CHADEMA bwana, I don't understand how lessminded they are. Hivi sasa nanyie mmekubali kuwa CCM B. Wawoooooooooo. Mmenasika kirahisi kweli. I knew it, there is only parties in this Contry CCM and CUF. Jamaa kaone anafilisika sasa anaamua kukabidhi chama kwa wenyewe. Au BILCANA imezidiwa na madeni? na sikia walikubaliana kwamba mshiko wa ruzuku na zile za kutoka kwa mama kule Ujerumani ni kwa ajili ya maandamano na vurugu zisizo za lazima then contributions za Mtei, Mbowe na Ndesa ndo zifanye mambo ya kama kujenga ofisi na vitu kama hivyo. Tusubiri tuone mwisho wake. Ila nadhani sasa Atasimamishwa prof. LIPUMBA 2015
kuwa mkweli ni sifa inayo hitajika sana hapa JF;
- Mbowe alimpiga huyu jamaa kwa sababu alikuwa mfuasi wa CCM
- Sumbawanga waliwatenga si kwa sababu hiyo mkuu, Usiwe mdini kihivyo tafuta sababu nyingine ya kuwachukia CDM ila si ya UDINI
- Unakashifa za rejareja Waislamu feki wakoje au kwa sababu si watu wakujitoa mhanga kuua watu wengine " ufeki wa imani iliyoko ndani ya mtu ukoje usiwe bias kihivyo, tupendane tusigombane
Bakwata waweza kutoa tamko lakini lazima wapate Mwongo utoka kwa Katibu mkuu wa CCMNasubiri tamko la Bakwata.
hiyo ile thread ya hongo ya laki nane nayo ni propaganda. Tusubiri tutaona ukweli , lisemwalo lipo na kama halipo laja. Acha Mbowe mwenyewe akanushe au wewe ndo msemaji wa CDM?
Tena wewe kaa pembeni kabisa na wala mimi si mwana-CCM mie CUF dam dam. Inaonekana huna data. Tena usihusianishe POLISI na siasa that is Governmental institute. Hivi unajua maeneo ambayo polisi walitumia nguvu? sasa leo nakueleza ili ukawashauri viongozi wako vizuri. Maeneo mengi ambayo polisi walitumia nguvu ni yale ambayo Katibu wako mkuu na Mwenyekiti wako walipanda majukwaani kuwaambia wananchi wasitii amri ya Polisi. Maeneo hayo ni kama vile Arusha, Igunga, Dodoma, Mara na kwingineko, Sasa kama wananchi walishaambiwa majukwaani wasitii amri na chombo halali cha Serikali what did u expect. Yaani hata ile semina waliyopewa Bungeni na SAID MWEMA ya Utii wa bila kushurutishwa haikuingia akilini mwao. What these type of leaders do we expect in the future?Unajua mkuu hoja zako hazifanani kabisa na unachopenda kukiita "hadhi yako" by the way vp bado napenda CCM eeh???????? Polisi iko fanya kazi inavyotakiwa?
Poleni sana ndungu zangu. U are always late like fire brigade!? Moto ukishaanza kuunguza nyumba ndio wanapewa taarifa na hadi wafike, nyumba imeteketea! Ndivyo mlivyotumika Igunga, waliowatumia wameshafanikiwa, nyie ndio mnashtuka.
Ninachoweza kuwaambia kwa sasa ni kuwakaribisha tena kwenye mapambano ya kuikomboa nchi huku mkiangalia mbele kwa makini ili msitumike tena kijingajinga na kuturudisha nyuma.
Mungu ibariki Tanzania na watu wake (waislamu, wakristo, wapagani, makabila yote na wa kanda zote)!
Usilazimishe kuandika kiingereza kama hukijui andika lugha unayoimudu tutakuelewa.CHADEMA bwana, I don't understand how lessminded they are. Hivi sasa nanyie mmekubali kuwa CCM B. Wawoooooooooo. Mmenasika kirahisi kweli. I knew it, there is only parties in this Contry CCM and CUF. Jamaa kaone anafilisika sasa anaamua kukabidhi chama kwa wenyewe. Au BILCANA imezidiwa na madeni? na sikia walikubaliana kwamba mshiko wa ruzuku na zile za kutoka kwa mama kule Ujerumani ni kwa ajili ya maandamano na vurugu zisizo za lazima then contributions za Mtei, Mbowe na Ndesa ndo zifanye mambo ya kama kujenga ofisi na vitu kama hivyo. Tusubiri tuone mwisho wake. Ila nadhani sasa Atasimamishwa prof. LIPUMBA 2015
CHADEMA bwana, I don't understand how lessminded they are. Hivi sasa nanyie mmekubali kuwa CCM B. Wawoooooooooo. Mmenasika kirahisi kweli. I knew it, there is only parties in this Contry CCM and CUF. Jamaa kaone anafilisika sasa anaamua kukabidhi chama kwa wenyewe. Au BILCANA imezidiwa na madeni? na sikia walikubaliana kwamba mshiko wa ruzuku na zile za kutoka kwa mama kule Ujerumani ni kwa ajili ya maandamano na vurugu zisizo za lazima then contributions za Mtei, Mbowe na Ndesa ndo zifanye mambo ya kama kujenga ofisi na vitu kama hivyo. Tusubiri tuone mwisho wake. Ila nadhani sasa Atasimamishwa prof. LIPUMBA 2015