Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 5,149
- 14,488
Hiki ndicho kilichopo kwa sasa TAKUKURU haina meno yake, zamani maofisa wa serikali na sekta binafsi walikuwa wakisikia TAKUKURU inawafuatilia walikuwa wanaingia ubaridi lakini kwa sasa mambo ni tofauti.
Kinara wa rushwa ni Taasisi za umma ili kuziba madhaifu yao.
Yaani TAKUKURU imekufa na huenda taasisi tanzu kama Financial intelligence unity zikawa hazina nguvu maana misingi ya utakatishaji fedha ipo kwenye rushwa.
Kinara wa rushwa ni Taasisi za umma ili kuziba madhaifu yao.
Yaani TAKUKURU imekufa na huenda taasisi tanzu kama Financial intelligence unity zikawa hazina nguvu maana misingi ya utakatishaji fedha ipo kwenye rushwa.