Taasisi ya Benjamin William Mkapa imeandaa mdahalo kuhusu Maisha ya Rais Mkapa

Wewe na iyo sexless yako unakumbuka nini kwa mkapa kuzidi Magufuli,Rais atawala miaka sita ila kawaiku wote waliotawala kumi kumi
Wewe kama hujui au ulizaliwa karibuni nyamaza Mkapa ndio rais bora kabisa aliyepaisha uchumi wa hii nchi
1. Hajakopa deni la taifa lilipungua ukilinganisha alipo Ingia na alipo toka hivyo alilipa badala yakukopa

2. Kabineti yake ijae watu weredi kabisa ambao wali-set regulatory zote unazoziona, TRA, ewura, takukuru, Tcra etc

3. Wanafunzi walifwatwa vyuo vikuu kufanyiwa interviewed kabla hata kufanya university exam hii ina maana ajira ilikuwa bwerere

4. Ndiyo kipidi ambacho hata Bima ya afya ilianzishwa

Kikwete alikuta njia nyeupe Nate hakuivuruga
 
Wewe kama hujui au ulizaliwa karibuni nyamaza Mkapa ndio rais bora kabisa aliyepaisha uchumi wa hii nchi
1. Hajakopa deni la taifa lilipungua ukilinganisha alipo Ingia na alipo toka hivyo alilipa badala yakukopa

2. Kabinet yake ijaa watu weredi kabisa ambao wali set regulatory zote unaxoziona, TRA, ewura, takukuru, Tcra etc

3. Wanafunzi walifwatwa vyuo vikuu kufanyiwa interviewed kabla hata kufanya university exam hii ina maana ajira ilikuwa bwerere

4. Ndiyo kipidi ambacho hata Bima ya afya ilianzishwa

Kikwete alikuta njia nyeupe Nate hakuivuruga
Naungama nawe. Hakika Mkapa ndiye alikuwa Rais bora kabisa kwa Tanzania katika kutengeneza mifumo ya uchumi wa kisasa.

Na Mwalimu Nyerere anabakia kuwa Rais bora kabisa kwa kutengeneza Taifa. Kwa vigezo vya ubora wa uongozi kwa ujumla:

1) Mwalimu Nyerere
2) Benjamin Mkapa
3) Jakaya Kikwete
4) Ali Hassan Mwinyi
5) John Magufuli

Wapo watakaopinga kwa sababu ya ushabiki unaopofusha macho, siyo ajabu. Ukienda kwa ushabiki, hata jambazi unaweza kumpigania ili aonekane ni mtu mwema. Wapo waliopoteza mpaka maisha kwaajili ya kumpigania na kulinda legacy ya dikteta Idd Amin, Bokasa, Nguema, Hitler, Bokasa, Pinochet, etc.
 
Naungama nawe. Hakika Mkapa ndiye alikuwa Rais bora kabisa kwa Tanzania katika kutengeneza mifumo ya uchumi wa kisasa.

Na Mwalimu Nyerere anabakia kuwa Rais bora kabisa kwa kutengeneza Taifa. Kwa vigezo vya ubora wa uongozi kwa ujumla:

1) Mwalimu Nyerere
2) Benjamin Mkapa
3) Jakaya Kikwete
4) Ali Hassan Mwinyi
5) John Magufuli

Wapo watakaopinga kwa sababu ya ushabiki unaopofusha macho, siyo ajabu. Ukienda kwa ushabiki, hata jambazi unaweza kumpigania ili aonekane ni mtu mwema. Wapo waliopoteza mpaka maisha kwaajili ya kumpigania na kulinda legacy ya dikteta Idd Amin, Bokasa, Nguema, Hitler, Bokasa, Pinochet, etc.
Wewe utakuwa msomi unaye jishughulisha na Tahiti maana unaweza soma lakini usiushughulishe ubungo
 
Wewe na hiyo sexless yako unakumbuka nini kwa Mkapa kuzidi Magufuli, Rais atawala miaka sita ila kawapiku wote waliotawala kumi kumi
Ni kweli marehemu pombe amewapiku watangulizi wake wote kwenye mauaji ya raia wasio hatia, imprisonment without trial, ubakaji wa katiba, wizi na ufisadi(Trillion 1.5, billion 70 za corona kutoka EU nk) kupora wafanyabiashara fedha zao, kusingizia kesi, ubaguzi wa kikabila na kisiasa nk.
Hayo yote hakuna kiongozi amewahi kuyafanya kikamilifu kama mwendakuzimu
 
hizi taasisi mpaka Sasa ziko 3,ya rais mkapa,mwal.nyerere,sijajua ya jpm imeanzishwa au bado mpaka Sasa,na tunaisubiri ya mzee mwinyi,na mzee mkapa!!sasa hawa wakurugenzi wa hz taasisi kwa nn wasiwe wanafanya press conference ya pamoja na watupe mirejesho ya kazi zao,mapato na matumizi !? Ili Kama wanachi tujue Kama zina waenzi wapendwa wetu au laa!!
 
Back
Top Bottom