John Haramba
JF-Expert Member
- Feb 4, 2022
- 365
- 1,373
Taarifa za kukamatwa kwa waandishi wa habari jijini Arusha
Waandishi wawili Victor Korumba wa Global TV na Alphonce Kusaga wa Triple A FM wanashikiliwa na Polisi Kituo Kikuu, walikuwa wakifuatilia tukio la askari kituo cha polisi sakina kupiga raia jana Februari 23, 2022.
Nimeongea na Mwenyekiti wa Arusha Press Club amethibitisha na sasa yupo Kituo cha Polisi kufuatilia tukio hilo.
Tunaendelea kufuatilia tukio hilo.
Edwin Soko
24.02.2022
Pia, soma:
Waandishi wawili Victor Korumba wa Global TV na Alphonce Kusaga wa Triple A FM wanashikiliwa na Polisi Kituo Kikuu, walikuwa wakifuatilia tukio la askari kituo cha polisi sakina kupiga raia jana Februari 23, 2022.
Nimeongea na Mwenyekiti wa Arusha Press Club amethibitisha na sasa yupo Kituo cha Polisi kufuatilia tukio hilo.
Tunaendelea kufuatilia tukio hilo.
Edwin Soko
24.02.2022
Pia, soma:
IGP Sirro, angalia Polisi wako wa Arusha Wanavyo lazimisha Rushwa kwa Kushirikiana na Mgambo
TUKIO LA WAANDISHI WA HABARI KUKAMATWA NA KUPEWA KESI YA MCHONGO ARUSHA. Waandishi wa Habari wawili wa vyombo vya Habari tofauti mmoja Korumba Victor Moshi na Wa Global Tv na Alphonce Kusaga Wa Tripal A Redio wote wa Mkaoni Arusha walikamatwa na jeshi la polisi mkoani Arusha wakiwa wanafatilia...
www.jamiiforums.com