Taarifa ya serikali juu ya mgomo wa madaktari

-Ni kweli Dr Ulimboka hana usajili? Ni bodi ipi hiyo? Ninavyofahamu Madaktari hawana bodi kama ERB au NBAA.
-MaDaktari wetu wameanza kulipwa? Wamepewa na hizo "Green Cards za NHIF?
 
maamuzi ya serikali juu ya mgogoro
1. madktari hawataki suluhu juu ya mgogoro, na kuagiza warudi kazini mara moja
 
Mbona hakuna jipya hapa??

Haya yote aliyasema pinda Jpili iliyopita!! Hawa magamba hawalioni hili?

je hapa anatoa tamko la serkali la kukomesha mgomo au ndiyo anachochea moto?
 
Posho za kuwaita madaktari baada ya saa za kazi zimepanda kwa kufuata ngazi ya vyeo na itaanza hivi karibuni
 
Kwamba mgomo ule ni batili kwa kuwa sheria inawazuia madaktari na watumishi wengine wa sekta muhimu kugoma.
 
Kifupi waziri anasema huduma za afya zimerudi kama kawaida nchini kote. Mnaojua ukweli mikoani mtujuze ukweli wa hili jambo
 
Kwamba mgomo ule ni batili kwa kuwa sheria inawazuia madaktari na watumishi wengine wa sekta muhimu kugoma.
Hili nalo ni kweli ingawa sheria haikusema wafanyweje wakigoma na watu wakapoteza maisha.
 
anasema huduma katika hospitali ya MUIMBILI,OCEAN ROAD,KCMC,BUGANDO,MBEA NA HOSPITALIZOTE ZA MANISPAA ZA DAR HUDUMA ZIMERUDI KAMA KAWAIDA NA NI ZA KURIDHISHA
 
Kitengo cha dharura Muhimbili kipepata madaktari 15 kutoka jeshini lakini ya hospitali amesema bado sio ya kuridhisha
 
Mwenye profile ya Waziri Mponda amwege huku tumjue vizuri zaidi.
 
Imeundwa kamati ya kushughulikia tatizo hili, ikimshirikisha Nyoni
 
Eti serikali inasikitika kwa athari walizopata wananch ktkn na mgomo wa madaktari, a
 
Nilichojifunza kutoka kwa waziri leo kumbe madai haya yanahusu wizara 3 .....Wizara ya Afya, Wizara ya Utumishi wa Umma na Wizara ya Fedha. Bila ushirikiano wa karibu wa wizara hizo wizara ya Afya haiwezi kuafanya kitu
 
Back
Top Bottom