- Thread starter
- #101
Sana kaka ni majonzi kwa wengi,Mimi nimejitolea kutoa hii taarifa kwa sababu kipindi Fulani tukiwa kwenye story za hapa na pale ndo nikamwambia kama nipo JF akanambia na yeye yupo na akanionesha hii ID yake,akanambia amepiga sana hela JF kipindi inaanzishwa hasa kwenye haya mambo ya technology,kuflash simu n.kMsiba umegusa wengi kuanzia Dodoma Arusha manyara singida tabora shinyanga dah si kuwahi kujua km anaweza kuwa ni member humu ndani