Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 10,748
- 15,769
RIP member wa JF
Apumzike kwa Amani!Kwa masikitiko makubwa nawataarifu kuhusu kifo Cha member mkongwe mwenzetu anayetumia ID ya Slave
Katika uhalisia huyu alikuwa fundi simu wilaya ya kahama na alikuwa anafahamika kwa jina maarufu la Dokta Zedi
Pia alikuwa mwenyekiti wa watu wenye uziwi hapo hapo wilaya ya kahama
Alazwe mahala pema peponi
RIP SlaveKwa masikitiko makubwa nawataarifu kuhusu kifo Cha member mkongwe mwenzetu anayetumia ID ya Slave
Katika uhalisia huyu alikuwa fundi simu wilaya ya kahama na alikuwa anafahamika kwa jina maarufu la Dokta Zedi
Pia alikuwa mwenyekiti wa watu wenye uziwi hapo hapo wilaya ya kahama
Alazwe mahala pema peponi
Ina maana hata mkeo hajui ID yako ili siku uki RIP akutangaze humu?😁RIP kwake aiseee ila Kwa sisi wenye ID za makandokando full kukwepana na wakina tilatila na mwashambwa pale lumumba sijui tukifa nani atatoa taarifa humu ili Id zetu ziwekewe badge ya RIP daaaah
Mkuu Mimi ni kama yule mkuu wa mkoa aliyemshtaki demu kisa kutongozwa😀😀hatuamini sana wanawakeIna maana hata mkeo hajui ID yako ili siku uki RIP akutangaze humu?😁