ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,114
- 49,840
Uzoefu unaonyesha Polisi wamekuwa wakiwazulumu wafuasi wa Upinzani kwa kutekwa,kupigwa,kubambikiwa kesi,kuswekwa rumande na wakati mwingine watu kupotea kabisa.
Sasa sitarajii askari wanaopokea amri haramu au kujifanya ni wanakindakindaki wakasimamia sheria na haki na hata sikumoja CCM haiwezi kukubali kushindwa kwenye sanduku la kura.
Binafsi naona kushindana na mwenye suraha ni ngumu Ila unaweza dili na mfuasi wake,hapo wanaweza salimu maana hao wafuasi wao tunaishi wote kitaa
Sasa sitarajii askari wanaopokea amri haramu au kujifanya ni wanakindakindaki wakasimamia sheria na haki na hata sikumoja CCM haiwezi kukubali kushindwa kwenye sanduku la kura.
Binafsi naona kushindana na mwenye suraha ni ngumu Ila unaweza dili na mfuasi wake,hapo wanaweza salimu maana hao wafuasi wao tunaishi wote kitaa