TAARIFA: Wapendwa nimerudi..

TAARIFA: Wapendwa nimerudi..

Karibu tena Baba V tulikumiss sana mkuu! USHAURI NASAHA: Acha upasua kichwa hasahasa kule siasani! ONCE AGAIN WELCOME BACK MKUU.
 
Last edited by a moderator:
Uhuhuhuuu... Baba V karibu sanaaa nilikua nakusubiri kwa hamu umalizie deni lako.

E bana nnekuja, watu wa siasa walikuwa wanenipigisha ban.., deni lipi hilo nilicheki kwene list yangu
 
Last edited by a moderator:
Karibu tena Baba V tulikumiss sana mkuu! USHAURI NASAHA: Acha upasua kichwa hasahasa kule siasani! ONCE AGAIN WELCOME BACK MKUU.

Asante Mr.Prezdaa...! nimerudi, tatizo wajinga wanazingua sana kwa hiyo sometimes inabidi kuwanyoosha
 
Last edited by a moderator:
Asante Mr.Prezdaa...! nimerudi, tatizo wajinga wanazingua sana kwa hiyo sometimes inabidi kuwanyoosha

. . . Badala ya kuwanyoosha unanyooshwa wewe.

Anyway natambua uwepo wako mkuu!
This time around kuwa mvumilivu!
 
Karibu mkuu, tena karibu sana. Bora umekuja maana nina maumbea ya kukupa kama yafuatayo.
1. Loya Ruttashobolwa ameamua kabisa kutuachia mkewe wa ndoa Madame B na kukamatia kimwana mwengine
2. Mzungu Mndali aka Marry Mlokole anajitahidi kujisogeza mdo mdo hapa jukwaani tena, na amepata hata washkaji hasa huyu Donn anajidai ndie swahiba wake na noahism simwelewielewi.
3. Chimbuvu ametoweka kimya kimya na kuniachia muke yake, naomba mwongozo.
Mengine ntakwambia baadae ama Arushaone anaweza kumwagia hapa.................
 
Last edited by a moderator:
Karibu mkuu, tena karibu sana. Bora umekuja maana nina maumbea ya kukupa kama yafuatayo.
1. Loya Ruttashobolwa ameamua kabisa kutuachia mkewe wa ndoa Madame B na kukamatia kimwana mwengine
2. Mzungu Mndali aka Marry Mlokole anajitahidi kujisogeza mdo mdo hapa jukwaani tena, na amepata hata washkaji hasa huyu Donn anajidai ndie swahiba wake na noahism simwelewielewi.
3. Chimbuvu ametoweka kimya kimya na kuniachia muke yake, naomba mwongozo.
Mengine ntakwambia baadae ama Arushaone anaweza kumwagia hapa.................
 
Last edited by a moderator:
Karibu mkuu, tena karibu sana. Bora umekuja maana nina maumbea ya kukupa kama yafuatayo.
1. Loya Ruttashobolwa ameamua kabisa kutuachia mkewe wa ndoa Madame B na kukamatia kimwana mwengine
2. Mzungu Mndali aka Marry Mlokole anajitahidi kujisogeza mdo mdo hapa jukwaani tena, na amepata hata washkaji hasa huyu Donn anajidai ndie swahiba wake na noahism simwelewielewi.
3. Chimbuvu ametoweka kimya kimya na kuniachia muke yake, naomba mwongozo.
Mengine ntakwambia baadae ama Arushaone anaweza kumwagia hapa.................
 
Last edited by a moderator:
Karibu mkuu, tena karibu sana. Bora umekuja maana nina maumbea ya kukupa kama yafuatayo.
1. Loya Ruttashobolwa ameamua kabisa kutuachia mkewe wa ndoa Madame B na kukamatia kimwana mwengine
2. Mzungu Mndali aka Marry Mlokole anajitahidi kujisogeza mdo mdo hapa jukwaani tena, na amepata hata washkaji hasa huyu Donn anajidai ndie swahiba wake na noahism simwelewielewi.
3. Chimbuvu ametoweka kimya kimya na kuniachia muke yake, naomba mwongozo.
Mengine ntakwambia baadae ama Arushaone anaweza kumwagia hapa.................

E bana ee, nimezipata za Ruttashobolwa na fanta passion lady, huyu mzungu hunbig hata aibu hana, aje tu asiwe.na hofu mwambie tumemsamehe kwa buku jero, Chimbuvu si alisema ataweza kulitafuna fupa (Madame B) lililowashinda fisi (Bishanga, Ruttashobolwa na Erickb52) !??? asikimbie mji, mwambieni abaki hapahapa...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom