Magwangala
JF-Expert Member
- Oct 4, 2011
- 2,981
- 2,359
Wakuu,
Mchambuzi sio verified wamemjua namna gani tuongeze tahadhari?![]()
Hiyo ni picha yake halisi mkuu
Wakuu,
Mchambuzi sio verified wamemjua namna gani tuongeze tahadhari?![]()
Usije ukawa unampa taarifa mtoa vitishoHiyo ni picha yake halisi mkuu
Hizi siasa za aina hii, hazitakiwi kabisa.Anajua watu wanalaghaika kirahisi. Na kwa kiasi fulani amefanikiwa...
Usije ukawa unampa taarifa mtoa vitisho
Nimeanza nini?
Hizi siasa za aina hii, hazitakiwi kabisa.
Kuna watu kwa sasa wako nyuma ya huu mchezo mchafu katika jamii na watanzania walivyowepesi wa kuamini, kila kitu kwao ni kweli.
Hakuna Lolote hayo yoote ni maigizo ya Mchambuzi tu,yeye ni nani hadi awe tishio kwa chama kikubwa kama ccm? Acha kutafuta umaarufu,vinginevyo umekula vya watu rudisha haraka kabla hawajakurudisha kwa Sir God.
nimedokezwa na vyanzo vyangu vya kuaminika sana kuhusu mpango uliopo wa kunidhuru,hivyo niwe makini hasa in the public arena na nimetajiwa wahusika kwa "majina" na "kitaasisi"!
Hutaki Taifa liwafahamu kwa majina hao wanaotaka kukudhuru pamoja na kwamba unawafahamu kwa majina, lakini uko tayari kusema kama maisha yako hatarini.
Kama hii siyo siasa zenye propaganda ya hali ya juu, basi itakuwa ni mikwaruzano binafsi katika maisha.
Kitu kinachonishangaza kwa Mchambuzi. Madai yake anaitupia taasisi kubwa kama CCM kuwa iko nyuma ya hizi njama wakati huo huo anasema ana majina ya watu wanaodanya mpango huo na taasisi zao kwa maana kuwa wametumwa na CCM.Watu siku hizi hawajiulizi. Kila wanaloambiwa wao wanalikumbatia tu.
Ndio maana kuna jamaa Arusha walidiriki kuja na hadithi eti wametoka Sayari ya Mars!!! Watu wakawaamini na kuona kuwa wamekutana na muujiza!!!
Kitu kinachonishangaza kwa Mchambuzi. Madai yake anaitupia taasisi kubwa kama CCM kuwa iko nyuma ya hizi njama wakati huo huo anasema ana majina ya watu wanaodanya mpango huo na taasisi zao kwa maana kuwa wametumwa na CCM.
Kitu gani alichokifanya/anachokifanya cha ajabu sana kisiasa mpaka chama kitake kumdhuru.
Hebu tuwe wakweli hata kidogo.
Kitu kinachonishangaza kwa Mchambuzi. Madai yake anaitupia taasisi kubwa kama CCM kuwa iko nyuma ya hizi njama wakati huo huo anasema ana majina ya watu wanaodanya mpango huo na taasisi zao kwa maana kuwa wametumwa na CCM.
Kitu gani alichokifanya/anachokifanya cha ajabu sana kisiasa mpaka chama kitake kumdhuru.
Hebu tuwe wakweli hata kidogo.