Taarifa: Usalama Wangu Hatarini

Mkuu, unakumbuka wale mapacha wa Arusha waliosema wametoka sayari ya Mars halafu watu wakawaamini bila kuwauliza maswali ya msingi. Ndio kama huyu member wa JF.
Habari yao kwa kidokezo hii hapa,
Kuna wengine huwa wanajifanya walikuwa wanasafiri na ungo na wamedodoka.
 


Wewe umeshaona usalama wako uko hatarin unasubiri nini kuondoka au ni mnufaika na ccm sas umehujumu mpango wenu wa siri unakuja kujikosha hapa hata kama una kuwepo mara kwa mara hapa jf haitoshi mana vijana wenyewe mnapenda hela kikinuka unamlilia nani. Habari ya ccm ilishanenwa miaka mingi iliyopita na lazima ccm ianguke leo utaweza meli kubwa isianguke uizuie wewe lazima utavunjika mbavu usilie uzito unapokuelemea UTAKUFA KIMBIA OOHOO!!!!! HUO NDIO MSAADA WANGU KMA SIO MNUFAIKA.
 
Umaarufu unatafutwa kwa jitihada nyingi kaka. Sasa hivi talk of the town ni wanasiasa kutekwa kwahiyo ukisema unataka kutekwa lazima upate umaarufu.
Na habari iwe tamu, inabidi useme ni CCM na Taasisi zake za ulinzi nchini.
 
Mkuu Mchambuzi; uko shirika na EL?Maana tunaona walioshirika na huyo jamaa wanavyoumizwa kwa vipigo,kucha na meno kutolewa bila ganzi.Hata wengine wamekufa /?wamejiua ghafla.
Take care
 
Kweli wewe ni mwanasiasa wa kweli.... una quote hata wapinzani wako wa kisiasa kwasababu tu wameongea busara......! Muko wachache sana TANZANIA HII, mie binafsi nitakuombea uwe na afya tele, wasikuthuru hao wenye nafsi za KISHETANI
 
Mkuu Mchambuzi pole sana, hii bwana ndiyo Tanzania kwani tunalazimisha kuhalalisha unyanyapaa wa kusifia visivyo sifika. Tatizo la nchi yetu ndiyo hili, watu wengi hawana la kufanya na hupenda kubabaisha wenzao kwa visingizio vya kijinga kwamba unataka kuua chama au unataka kuzorotesha chama. Sasa tujiulize, CCM kama chama kinatusaidia nini sisi watanzania? Hakuna Mtanzania aliye na akili sawa na mwenzake kila mmoja yuko kivyake na mitazamo yetu ni tofauti, usishange unachokiona wewe dhidi ya CCM hao viongozi wetu hawakioni japo wapo madarakani muda mrefu. Pole kwa kutishiwa, I hope hao washenzi watajimwagia wenyewe hiyo tindi kali yao.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mchambuzi, pole sana kwa yote!. Nakuhakikishia, ukikubali kuukubali ukweli wa kwenda "where you belong!", 2015 ni "ndani ya nyumba!".Tunakuweka kwenye sala zetu!.Pasco.
 
Tatizo wanasiasa wengine wako TOO desperate na wanajua watu wetu huwa hawajiulizi maswali kabla ya kuamini jambo, na ndio maana wanasiasa hao wanatumia mwanya huo kuwalaghai.

here we go again...
 

Hapo penye nyekundu,wanawaambia viongozi wetu ukweli unaouma.
 
Kwa kuwa unamwamini mungu aliye hai basi endelea na makala zako kama kawaida maana yeye ndo mlinzi pekee. Nakuomba umtangulize mungu maana atakupigania. Ni dhahiri CCM kimekuwa ni chama cha wauaji, matesaji, watekaji na kila aina ya uharamia. Wanadhani hiyo ndio itakuwa salama yao. Kama wanasoma alama za nyakati wasikilize ushauri wako.

Mungu akubariki na azidi kukupa ulinzi ulio imara.


 
Pole sana mkuu wangu na mpiganaji Mchambuzi
 
Last edited by a moderator:
kama mtu anania ya kukudhuru hawezi kuja kukutishia, huo unaitwa mkwara. jamaa kama anania mbaya na wewe anafanya kweli.

Siku ukijitambua na kutambua hali na mbinu za kuimarisha na kusimamia usalama wako, utatubu! Salaam za kheri.
 
Tatito umeingia choo cha kike, mchawi ni wewe mwenyewe!
 
Pole sana ndugu yangu; nchi yetu imekuwa ya kimafia sana. Siasa nyingi zenye kuambatana na rushwa huharibu kabisa nchi! Siasa za chama chenu tangu mwishoni mwa mwaka 2004 zimekuwa za kinyama sana.

Itabidi sasa uwe unatembea na dawa za ganzi na nail cutter kusudi iwapo watakutokea basi uwaombe wavitumie!
 
Wamemtambuaje Mchambuzi? Kwani yeye ni verified user? Au alishajitambulisha kwenye makala zake humu jukwaani?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…