Taarifa kwa vyombo vya habari

Taarifa kwa vyombo vya habari

Wapigania demokrasia ndani ya CHADEMA lakini ni MACCM!!!! Hebu tuwekee majina ya hao waliohusika kuandaa waraka huu ili tuangalie ni wangapi ambao wanastahili kuitwa ni wanachama wa CHADEMA. Mtaweweseka sana mwaka huu.

Well said
 
kama we brigedia kweli nitajie jina halisi la MM2 wallah nakuahidi kujiunga na uasi kuanzia leo.kama vipi ni pm
 
wewe unatoa huu ----- ukiwa kama nani ndani ya CDM? peleka huu u2mbo wako kwa magamba na L7 wenzako, hadanganyiki m2 hapa.
 
huyo si ni marando.

MM2=Mabere Marando.(double m)

Hakuna kitu kunaitwa MM2 ktk mtandao wa ushindi wa Maliberali. Rejea hapa;
MTANDAO WA USHINDI:
Mtandao wa ushindi utakuwa kama ifuatavyo. Kwenye ngazi ya kitaifa tutakuwa na kamati yenye members watatu tu. M1 ndiye atakayekuwa anawasiliana na tunayemtaka ambaye ataitwa MM (Mhusika Mkuu). Tumepanga kwamba kusiwe na mawasiliano mengi kati ya kamati na mhusika mkuu kuepuka tracking ya wapinzani wetu. M1 ni mtu wa karibu na MM kwa hiyo mawasiliano yao hayataweza kutiliwa shaka na mtu yeyote hata wangewasiliana mara nyingi kiasi gani. Hata hivyo, linapokuja suala la mkakati huu tunasihi mawasiliano yawe kwa kuonana uso kwa uso ama kwa simu na si sms. M1 ndiye atakayewasilisha mambo yote yanayotoka kwenye kamati ya kitaifa na endapo kuna haja ya MM kukutana na kamati ya kitaifa, mipango yote ya kikao itafanywa na M1 kwa usiri mkubwa. M2 ni mtu ambaye yuko kwenye ofisi kuu za taasisi yetu wakati M3 ndiye mchapaji wa mkakati huu.

Kamati hii imefanywa kuwa na members wachache sana wenye uelewa mpana wa mambo na wenye elimu nzuri ili kuhakikisha kazi inafanyika kitaalam na kwa uhakika sana. Kamati ya kitaifa itapeleka mapendekezo yake kwaMM na yeye pia ataleta ushauri wake kwa kamati kama mishale inavyoonyesha. Chini ya kamati ya kitaifa kutakuwepo waratibu wa kanda zote kumi watakaojulikana kama MK1 – MK10. Hawa watatafutwa na kusimikwa na kamati ya kitaifa kwa kushauriana na MM kwa utaratibu utakaokubalika na pande zote yaani MM na kamati ya kitaifa. Chini ya waratibu wa kanda kutakuwapo waratibu wa mikoa yote 30 (MMK1 – MMK30) ambao watapatikana kwa utaratibu ule ule wa kuwapata waratibu wa kanda. Isipokuwa pale ambapo inakuwa ngumu, itabidi kamati ya taifa isaidiane na waratibu wa kanda kuwapata waratibu wa mikoa lakini kamati itashauriana na MM kabla ya kuwasimika rasmi hao waratibu wa mikoa.
Kwa maana hiyo bado nashikilia msimamo wangu kwamba anayetafutwa ni M2 sio MM2
 
Hawa jamaa kama wanamaanisha wanayo nena nyuma ya Keyboard wamchukue muasi mwenzao Habib Mchange wakaanze kuonyesha wanayoita nguvu ya umma pale Kibaha mjini. Ni kilometa chache tu kutoka DSM baada ya hapo waende Serengeti kwa kina Nyakarungu halafu wamalizie kwa kina Mwampamba kule ambako siku hizi anaingia usiku na kutoka alfajiri.
 
Si bure lazima una tatizo kubwa sana kichwani. Maumivu ya kichwa huanza taratibu taratibu baadae unashtukia mtu anasaragambua nguo. Pole sana ndugu yangu maana hata ulichoandika hakieleweki. Umejichanganyachanganya na mwisho kabisa ndipo mtu anajua wewe sio mzima.
 
acha kuchekesha umma nyakarungu msaliti toka serikali ya chakushemeire mzumbe na muasisi wa uasi wa chedema tena bavicha kwa kutumiwa na ccm na fail lako loote tunalo

 
Haujashauri nini kilipaswa kufanywa kwa akina zitto na dk.kitilla kama mbadala wa maamuzi yaliyofanywa na kamati kuu badala yake umebwabwaja tuuu,huku ukilahumu upande flani na ukilenga kupandikiza chuki,kajipange upya na huje na hoja zisizo dhaifu hivi
 
si robbing ni lobbing, alafu we mtoto wa mchungaji acha mbwembwe...hiyo nguvu ya umma utajikuta mmeandamana wewe na hao jamaa, sijui mpo saba.
 
Hawa jamaa kama wanamaanisha wanayo nena nyuma ya Keyboard wamchukue muasi mwenzao Habib Mchange wakaanze kuonyesha wanayoita nguvu ya umma pale Kibaha mjini. Ni kilometa chache tu kutoka DSM baada ya hapo waende Serengeti kwa kina Nyakarungu halafu wamalizie kwa kina Mwampamba kule ambako siku hizi anaingia usiku na kutoka alfajiri.
Sawa kabisa mkuu Mtoi.
 
Nguvu ya Umma iko Chadema, Sio kwa waasi(Rebelion,s) Poor you. Viongozi watimuliwa wote siku 14 ni jibu tosha,Hata kama hamtaki mtainywa kwa maana ni dawa!!!
 
Asante sana bregadia Nyakarungu umeongea kila kitu.

Kuna kitu umesahau hivi kwenye katiba ya chama kuna kipengele kina ruhusu wanachama kukopeshwa na chama?

Hongera sana bregadia Nyakarungu umesaha kuuliza aliyempa ruhusa Godbless J Lema kumpiga tofali Mwigamba?


Kwakweli lema,mbowe,slaa na mtei lazima wakubali kukirudisha chama kwa wananchi.

Bregadia Nyakarungu nazidi kukuombea usipigwe tofali wala kumwagiwa tindikali.

Bregadia Nyakarungu pole sana chadema ni chama cha mtei na lema kwa hiyo nguvu nyingi ina hitajika kuwaanisha kuwa hichi chama sio chao.


Bregadia Nyakarungu huyu M2 anawindwa sana na umwambie awe makini sana wakati akiwa anasaidia kumwaga mboga.

Bregadia Nyakarungu kifupi kama ulimsikiliza Lisu utagundua alitoboa siri kuwa kikao cha juzi kiliwafukuza Zitto na Kitila.


Bregadia Nyakarungu umenena vyema kabisa ni mara nyingi Lissu amekuwa akisema kama haki wata hikosa bungeni watarudi kwa wananchi kuwaeleza na kumsema spika wakijua ni nje ya utaratibu na style hiinimekuwa ya kawaida. Lakini namshangaa Lissu kupiga kelele wenzie kufanya nje ya utaratibu wakati anajua kuwa mtu anaweza tafuta haki hata nje ya utaratibu.

Bregadia Nyakarungu kabla ya report hile ya siri kuchapwa kwenye magazeti kama Henry Kilewo aliubandika kwenye blog yake(credit kilewo)hivyo anajua alii utoa wapi.

Hata hivyo kamanda Mungi amesema hile report ni ya kweli na ilikataliwa na chadem a kwa mkakati mahususi,hivyo ni wazi chanzo cha huo waraka ni makao makuu.
Namshukuru kamanda wa lema bwana Mungi kwa kutoboa siri hiyo.

Ni wazi chadema wanaogopa demokrasia na huu ndio mwisho wao.
 
Last edited by a moderator:
kweli nimeamini wew ni kibaraka ndani ya chadema hyo mikutano yako na watu wako ifanye,uspika wako katika serikali ya wanafunzi chuo kikuuu mzumbe umekushinda utaweza kusimamia maslahi ya taifa bwana nyakarungu usitafute umaarufu ndani ya jukwaa hili kwa hoja zisizo na mashiko na falsafa za sungura na fisi.........umekuwa mstri wa mbele kukibomoa chama kwa kutumiwa na magamba hilo tunajua.nimeamua kujibu hoja ili kukufuta mtazamo feki na falsafa zisizo na mashiko pleas acha kuwaudhi wapenda maendelo.......
 
Asante sana bregadia Nyakarungu umeongea kila kitu.

Kuna kitu umesahau hivi kwenye katiba ya chama kuna kipengele kina ruhusu wanachama kukopeshwa na chama?

Hongera sana bregadia Nyakarungu umesaha kuuliza aliyempa ruhusa Godbless J Lema kumpiga tofali Mwigamba?


Kwakweli lema,mbowe,slaa na mtei lazima wakubali kukirudisha chama kwa wananchi.

Bregadia Nyakarungu nazidi kukuombea usipigwe tofali wala kumwagiwa tindikali.

Bregadia Nyakarungu pole sana chadema ni chama cha mtei na lema kwa hiyo nguvu nyingi ina hitajika kuwaanisha kuwa hichi chama sio chao.


Bregadia Nyakarungu huyu M2 anawindwa sana na umwambie awe makini sana wakati akiwa anasaidia kumwaga mboga.

Bregadia Nyakarungu kifupi kama ulimsikiliza Lisu utagundua alitoboa siri kuwa kikao cha juzi kiliwafukuza Zitto na Kitila.


Bregadia Nyakarungu umenena vyema kabisa ni mara nyingi Lissu amekuwa akisema kama haki wata hikosa bungeni watarudi kwa wananchi kuwaeleza na kumsema spika wakijua ni nje ya utaratibu na style hiinimekuwa ya kawaida. Lakini namshangaa Lissu kupiga kelele wenzie kufanya nje ya utaratibu wakati anajua kuwa mtu anaweza tafuta haki hata nje ya utaratibu.

Bregadia Nyakarungu kabla ya report hile ya siri kuchapwa kwenye magazeti kama Henry Kilewo aliubandika kwenye blog yake(credit kilewo)hivyo anajua alii utoa wapi.

Hata hivyo kamanda Mungi amesema hile report ni ya kweli na ilikataliwa na chadem a kwa mkakati mahususi,hivyo ni wazi chanzo cha huo waraka ni makao makuu.
Namshukuru kamanda wa lema bwana Mungi kwa kutoboa siri hiyo.

Ni wazi chadema wanaogopa demokrasia na huu ndio mwisho wao.
 
Last edited by a moderator:
Asante sana bregadia Nyakarungu umeongea kila kitu.

Kuna kitu umesahau hivi kwenye katiba ya chama kuna kipengele kina ruhusu wanachama kukopeshwa na chama?

Hongera sana bregadia Nyakarungu umesaha kuuliza aliyempa ruhusa Godbless J Lema kumpiga tofali Mwigamba?


Kwakweli lema,mbowe,slaa na mtei lazima wakubali kukirudisha chama kwa wananchi.

Bregadia Nyakarungu nazidi kukuombea usipigwe tofali wala kumwagiwa tindikali.

Bregadia Nyakarungu pole sana chadema ni chama cha mtei na lema kwa hiyo nguvu nyingi ina hitajika kuwaanisha kuwa hichi chama sio chao.


Bregadia Nyakarungu huyu M2 anawindwa sana na umwambie awe makini sana wakati akiwa anasaidia kumwaga mboga.

Bregadia Nyakarungu kifupi kama ulimsikiliza Lisu utagundua alitoboa siri kuwa kikao cha juzi kiliwafukuza Zitto na Kitila.


Bregadia Nyakarungu umenena vyema kabisa ni mara nyingi Lissu amekuwa akisema kama haki wata hikosa bungeni watarudi kwa wananchi kuwaeleza na kumsema spika wakijua ni nje ya utaratibu na style hiinimekuwa ya kawaida. Lakini namshangaa Lissu kupiga kelele wenzie kufanya nje ya utaratibu wakati anajua kuwa mtu anaweza tafuta haki hata nje ya utaratibu.

Bregadia Nyakarungu kabla ya report hile ya siri kuchapwa kwenye magazeti kama Henry Kilewo aliubandika kwenye blog yake(credit kilewo)hivyo anajua alii utoa wapi.

Hata hivyo kamanda Mungi amesema hile report ni ya kweli na ilikataliwa na chadem a kwa mkakati mahususi,hivyo ni wazi chanzo cha huo waraka ni makao makuu.
Namshukuru kamanda wa lema bwana Mungi kwa kutoboa siri hiyo.

Ni wazi chadema wanaogopa demokrasia na huu ndio mwisho wao.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom