CCM Music
JF-Expert Member
- Dec 5, 2018
- 1,036
- 1,782
Ipi imekaa ki weledi zaidi?
Mie naona 'Taarifa kwa Umma' kwa sababu unatumikia umma na unaitaarifu umma, lkn kusema Taarifa kwa Vyombo vya habari naona ni makosa makubwa sana beyond repair (ni kukosekana weledi katika kufahamu who is your boss and who should you report to).
Vipi mtazamo wako ki weledi?
Mie naona 'Taarifa kwa Umma' kwa sababu unatumikia umma na unaitaarifu umma, lkn kusema Taarifa kwa Vyombo vya habari naona ni makosa makubwa sana beyond repair (ni kukosekana weledi katika kufahamu who is your boss and who should you report to).
Vipi mtazamo wako ki weledi?