akilimtindi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2008
- 421
- 83
Huo ndio ulinzi shirikishi toka CCM, Arusha inapakana na kwa Karibu sana na Kenya na Wasomali wanaingia wengi tu na kutoka. JK anasema tunaunga mkono Kenya na Mwema anasema tuko Imara huku akiwaomba wananchi kutoa taarifa kuhusu lolote litakaloonekana kutia wasiwasi wananchi.
Swali langu ni kwamba Panya wanaweza kutoa taarifa za hatari kwa Paka? Je, Panya wakitoa taarifa... Paka watafuatilia taarifa au watakula Panya kwanza? Je, Panya watakaribiana vipi na Paka ili watoe hizo taarifa? Je, Paka wanaangalia kweli hatari zilizopo ama wanatumia muda mrefu kuwinda Panya?
Swali langu ni kwamba Panya wanaweza kutoa taarifa za hatari kwa Paka? Je, Panya wakitoa taarifa... Paka watafuatilia taarifa au watakula Panya kwanza? Je, Panya watakaribiana vipi na Paka ili watoe hizo taarifa? Je, Paka wanaangalia kweli hatari zilizopo ama wanatumia muda mrefu kuwinda Panya?