Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Kwani taarifa kwa umma unatakiwa utolewe na nani...Lowassa, UVCCM.... pekee ndiyo wana haki ya kutoa taarifa kwa ummaLema analilia kama mtoto wa chekechea maneno mengi..
Tanzania kuna wabunge zaidi ya 300 kila mmoja awe anatoa taarifa kwa umma si itawa nchi ya maigizo