If steps are not in advance and so quickly Arusha will soon devop into a battle ground!!In the past (I dont know ) Arusha wa used to be called Geneve of Africa!! But may be if measures are not taken it will be soon cossovo of Africa,..
Jamani hebu kila mtu atimize wjibu wake kwa mujibu wa sheria ., polisi weka usalama , mbunge himiza maendeleo na wananchi tufanye kazi kwa bidiii!
I LOVE ARUSHA I DONT WANT TO SEE IT BEEN RUINED!
Mkuu Ciril mifano yako na mifano ya Lema ni vitu viwili tofauti.Nakubali kweli kuna wakati polisi wanakiuka misingi ya kazi zao lakini katika suala la Lema Polisi wako right kabisa.
Yaani wewe ndio unachekesha kweli unatolea mifano hao watu makini na mwizi wa magari?
Ni sawa sawa kulinganisha mlima Kilimanjaro na mlima Tegeta
Hivi kweli watu 5,600 Lema anataka waende mahakamani wakafanyaje? kweli hizi akili za kunguru sijawai kuona toka nianze kufuatilia kesi za kupinga matokeo ya uchaguzi wa mbunge sijawai kusikia mbunge akiwataka waliompigia kura waende mahakamani..
yaani watu waache kazi zao wakashinde mahakamani, anajuaje kama wote waliompigia kura ni Chadema?
Mkuu FS.
Hivi kweli unaweza kumweka Lema kundi moja na Nelson Mandela,Luther King na Nuhru Gandhi duh kweli Tanzania tumefikia pabaya.
nathani bado hawatambui ya kuwa "INJUSTICE ANYWHERE IS A THREAT TO JUSTICE EVERYWHERE"
........jeuri hii wanaipata ccmAseee!!
Very touching, sijui polisi wanapata wapi jeuri namna hii...wanajitoa fahamu kama vile wao sio binadamu.
Itafika wakati magari wanayotumia hawa viongozi yatachukuliwa na watalazimika kutembea kwa miguu kama wapiga kura.
that day will come, soon or later.