Taarifa kwa Umma Kuhusu Mgomo wa Madaktari - CHADEMA

Ok! watanzania wengi wamekua ni wavivu wa kufikiri kama ilivyowai kutolewa na kigogo mmoja from tanzania ambaye aliamua kua bilionea kwa kuwanyonya raia ili anufaishe tumbo lake na baada ya hapo akaamua kututukana ya kua watanzania nia wavivu wa kifikiri. Hii ni kweli kwani katika mgomo huu wa madakitari wengi walishaanza kupigapiga motomo kuwa kuna mkono wa Chadema na ndo maana hata leo hii ikitokea wana funzi vyouni wanadai mahitaji yoyote ambayo ni muhimu kwao kinachofuata ni timuatimua kwa kuogopa eti kuna Chadema. Tufikirie kwa kina kwani hawa figure tunazoita viongozi kwa sasa ni kazi tupu wamekua ni mizigo kwetu na watatunyonya mpaka tutaishiwa. Kuna wapuuzi wanakaa eti kuwaunga mkono ok1 endeleeni lakini mjue ya kuwa matatizo yanayoendelea hapa nchini sio kwa wanachadema tu bali ni kwa wantanzania wote. Tusiwe wavivu wa kifikiri ebu tushirikishe vichwa kwani tanzania ni yetu sote na sio ya Pinda wala Kikwete tu. Na wapuu wengine wamekua hawatafakari bali wanaunga mkono na hoja ambazo si za msingi. Big up Chadema tuko Pamoja tusikatishwe tamaa na wavivu wa kifikiri ambao hawajui leo wala kesho .
 
Tuzichambue hoja kadiri ya uzito unaostahili. Kuna baadhi ya hoja zinakosa mwelekeo humu jamvini kwa sababu tu ya itikadi. Yafuatayo sitaki kukubaliana nayo: 1. CDM wasijiingize: Kuna baadhi ya wachangiaji wamedai tamko la CDM lakini wengine baada ya kuona tamko wameanza kupinga kutolewa kwa tamko badala ya kupinga kilichomo katika tamko. Ni wazi kuwa ni jukumu la kwanza la CDM kama chama cha siasa kujihusisha katika mambo ambayo yanahusu ustawi wa wananchi. Kama hawatajihusisha katika hili watajihusisha katika lipi. Hii haimaanishi wajihusishe kwa jambo ambalo siyo la kisiasa. Katika hili tujue suala la maslahi ya madaktari limetaja mshahara hivyo haliwezi kukwepeka wakati wa kuzungumzia siasa - hasa tukirejea kuwa wabunge ndio wanaopitisha makadirio ya matumizi ya serikali likiwemo suala la mishahara. CDM katika tamko lao wamejieleza vizuri kwa kurejea ilani yao ya uchaguzi 2010 na maoni ya kambi ya upinzani. Katika hilo hakuna umaarufu wa kisiasa uliotafutwa labda upotoshanji tu wa watu. 2. Madai ya Madakatari yanahusu taaluma: Hili sikubaliani nalo kwa sababu kwa uelewa wangu taaluma katika kazi ya madakatari linahusu tiba - mfano dozi za dawa, upasuaji nk. iweje mshahara ni suala la taaluma? iweje posho ( call allowance) iwe la kitaaluma? Kama madai yao yanahusu vitu nilivyovitaja hapo juu ninaona kuna upotoshaji wa hali ya juu kabisa. 3. Kuunga mkono madai ya madaktari kwa ujumla: Hata kama madaktari wana madai ya msingi, haimaanishi kwamba kwa vile wamepata fursa ya kudai basi kila watakachodai basi ni halali kwao. Hivi wanapotaka kudai mshahara wa Tsh. milioni 3.5 kwa mwezi kwa daktari anayeanza kazi, mshahara huo una uwiano wowote na mapato ya serikali ya Tanzania? Au wanataka wao walipwe kama wanasiasa wa Tanzania na watakapougua wapelekwe India. Nina kumbuka Daktari (MD) mmoja katika moja ya Hospitali za wilaya hapa Tanzania. Katika utendaji wake wa kazi alikuwa akilalamikiwa hasa kwa kutojali hasa kina mama wanaokwenda kujifungua hospitalini hapo. Kinachotokea ni kuwa mke wake anapofikia hali ya kujifungua yeye humpeleka katika Hospitali ya rufaa. Hii ina maana hata yeye ambaye hutoa tiba katika hospitali hiyo ya wilaya bado alikuwa haiamini. Madakatari wana madai na madai yao tunashindwa kuyaelewa vyema kwa sababu zetu za kuwakandamiza kabla ya kuwasikiliza. Tunashindwa kuzijibu vizuri kwa sababu hatujazielewa. Wanasiasa wanaotakiwa kuzijibu wanatumia jazba bila mantiki. Hao hao wanasiasa wamejiongezea posho bila mantiki lakini wao wanakataa madai ya wenzao. Hata hivyo, madai ya madaktari ya nyongeza ya mishahara na posho hayawezi kuhalalishwa na kosa la nyongeza za posho za wanasiasa.
Mkuu wangu tamko la madaktari limeonyesha wazi hawakutana chama chochote cha siasa kijiingize kwa sababu wanazozifahamu wao. sasa Chadema inapojiingiza na kuwaunga mkono wakati hawajui madai yao ama kutaarifiwa kwa ufasaha yapi madai yao ili nao wapate kusaidia ama kuwakilisha inawaweka ktk nafasi mbaya zaidi.

Chama hakikutakiwa kuchagua upande ikiwa hawafahamu kilichomo ktk madai. Haya ndio madai yetu sisi tunaopinga CDM kuingilia mzozo huu, mbona CCM, CUF na vyama vingine vimekaa pembeni? pengine wao walielezwa hivyo na wakasema maadam hamtaki sisi tuwasaidie basi.. Chadema ilitakiwa kukaa upande wa wananchi ambao wanaumizwa na mgomo huu usiojulikana haswa umetokana na nini kwa sababu nimefuatilia madai mengi yanawahusu madaktari tu, watumishi wengine wote wamesahauliwa hata waliopo ktk huduma za Afya. Na zaidi ya hapo swala kubwa linalopigwa vita ni Ufisadi ndani ya wizara hiyo lakini chombo kinachohusika na matumizi haya hakighuswi isipokuwa waziri wa Afya..

Kwa mfamo madaktari wamegundua kwamba mishahara inayotolewa hazina hailingani na ile wanayolipwa wao, sasa hapa unamlaumu waziri wa Afya na JK kwa mgomo kivipi?.. Je, umepitia sehemu zinazotakiwa kwanza kujua nani mhusika na ukapeleka mashtaka yako?
 
Serikali ya Chama Cha Michongo inatuangamiza wananchi. Hatutakubali kuangamia. Huwezi kuchezea maisha yetu kwa upumbavu kama huu serikali inaofanya sasa. Machafuko yatafuata.
 
Serikali ya Chama Cha Michongo inatuangamiza wananchi. Hatutakubali kuangamia. Huwezi kuchezea maisha yetu kwa upumbavu kama huu serikali inaofanya sasa. Machafuko yatafuata.

madaktari nao wanatuangamiza wananchi.
 
CHADEMA kama mtetezi wa wanyonge pia anayeamini nguvu ya umma hatakiwi kusimama mbali, mpaka haki ipatikane kwa wananchi wote!
kuanzia lini watetezi wa madaktari wauaji ya wagonjwa ni watetezi wa wanyonge. you must be kiding
 
Well it is the issue that need scrutiny from more bodies, CDM being one of them. I am not sure which would have been a good approach, spreading these demand or enclosing the same.

Exactly, one of the functions of these political parties is to being a pressure group to the gvt especially when things are astray...CDM is making it right. It is for the people, should it say on funneral ceremonies or preventing it making it earlier????
 
sasa inaitajika nguvu kubwa zaidi. mat imefanya sehemu yake. na wengine sasa tuungane mikono.
 
Wewe mtoto mnyika kila mara nakuonya kukimbilia hoja ambazo zinagusa maisha ya watu.umefanya fitina za kumtoa tumbo hapo uenezi unashindwa kuleta fikra mpya unadandia hoja za watu.Damu za watanzania zinazomwagika tutazidai mikononi mwako kwa kuchochea mauaji ya watu wasio na hatia,kwanini chama chako kisiwaambie madaktari warudi kazini?acha unafiki mtoto wewe.unawaambia Watanzania waunge mkono madai ya madaktari ni watanzania gani waunge mkono wakati wanakufa kwa kukosa matibabu?waunge mkono madai ya mshahara wa Tshs 3,500 ,000/= wakati kada zingine wanapata 135,000/=.Tuna wasisi na uelewa wako wa kuchanganua mambo.Tafadhali nyamaza unatukera Watanzania.
 
Wewe mtoto mnyika kila mara nakuonya kukimbilia hoja ambazo zinagusa maisha ya watu.umefanya fitina za kumtoa tumbo hapo uenezi unashindwa kuleta fikra mpya unadandia hoja za watu.Damu za watanzania zinazomwagika tutazidai mikononi mwako kwa kuchochea mauaji ya watu wasio na hatia,kwanini chama chako kisiwaambie madaktari warudi kazini?acha unafiki mtoto wewe.unawaambia Watanzania waunge mkono madai ya madaktari ni watanzania gani waunge mkono wakati wanakufa kwa kukosa matibabu?waunge mkono madai ya mshahara wa Tshs 3,500 ,000/= wakati kada zingine wanapata 135,000/=.Tuna wasisi na uelewa wako wa kuchanganua mambo.Tafadhali nyamaza unatukera Watanzania.

Are u speaking for yourself?
 
Wewe mtoto mnyika kila mara nakuonya kukimbilia hoja ambazo zinagusa maisha ya watu.umefanya fitina za kumtoa tumbo hapo uenezi unashindwa kuleta fikra mpya unadandia hoja za watu.Damu za watanzania zinazomwagika tutazidai mikononi mwako kwa kuchochea mauaji ya watu wasio na hatia,kwanini chama chako kisiwaambie madaktari warudi kazini?acha unafiki mtoto wewe.unawaambia Watanzania waunge mkono madai ya madaktari ni watanzania gani waunge mkono wakati wanakufa kwa kukosa matibabu?waunge mkono madai ya mshahara wa Tshs 3,500 ,000/= wakati kada zingine wanapata 135,000/=.Tuna wasisi na uelewa wako wa kuchanganua mambo.Tafadhali nyamaza unatukera Watanzania.

unakereka mtanzania sio tu' mbona mi sikereki na sio mchina
 
Hii statement ya CHADEMA inawakata miguu wale wote waliokuwa wanakimbilia kuunganisha huu mgomo na CHADEMA. Kumbe hawa wandugu wadunga sindamo vichwa vimepata moto. Crying wolf, not!

Mkuu unadhani hiyo statement imesema ukweli wote? Siasa ukizijua ni nyepesi sana na kauli za kisiasa huwa zina mantiki zake. Kwamba wanataka ushirikiano! Hapo kuna mengi ya kutafakari.
 
kama kweli Chadema walikuwa na nia nzuri wangeanza kufutilia issue hii kabla ya madaktari hawajagoma, kuhijack hoja si vizuri. Kuna wengine wengi tu wana matatizo hayo, wawasemee basi, sio kusubiri mpaka wameamua kugoma. Siungu mkono kupoliticize mgogoro wa madaktari na serikali.

Bongolander, naona haukuisoma taarifa yote, au umeisoma tu juu juu. Taarifa imeeleza vizuri sana na kuonyesha kuwa ushauri kwa selikari ulitolewa mapema hata kabla hali hii iliyopo sasa. Fuatilia tovuti ya CDM, na Ilani ya CDM ya uchaguzi ya 2010. Hivyo CDM hawaja-hijack hii hoja hata kidogo. Pia tambua kuwa CDM kama chama cha upinzani ni muhimu izungumzie swala hili kwa masilahi ya taifa kwa ujumla. Swala hili linagusa watanzania wote kwa ujumla, linahitajika kushughulikiwa haraka iwezekanavyo vinginevyo uhai wa watanzania wenzetu wengi uko hatarini. Sidhani kuwa CDM inaunga mkono mgomo, ila inaona selikari ndiyo inayo sababisha migomo iwepo. Taarifa inasistiza vile ambavyo selikari inaweza kuepusha kuwepo kwa migomo ikijisahihisha katika udhaifu wake. Tafadhali jenga tabia ya kusoma na kuelewa kwanza kabla huja toa maoni yako.
 
Back
Top Bottom